Ukweli Hakuna mji ulio na watu wa uelewa mdogo kama Dar,tunapata kila kitu magazeti,radio,vituo vya tv,internet na nk, sasa sijui ni uoga au ujuaji uliokidhiri? kwa ujumla hatuna mwamko kama vile hatuguswi na hali halisi inavyoendelea serikalini tupotupo tu,Dar tulitakiwa tuwe mfano lkn mifano...
Ukweli Sister Bunge linaboa hasa uchangiaji hotuba ya Rais, kilichopo baada ya kuchangia au kuishauri Serikali wabunge wa Ccm wanajibu yale Wapinzani wanayokosoa na kuishauri Serikali ifanyeje kwa yale waliyoboronga,Wabunge utadhani hawaoni wamebaki kutetea uozo ambao hauna maana na manufaa kwa...
Tatizo la Watanganyika hatuijui Vizuri Ccm, Wanajifanya kukwaruzana mara hawapatani mbele ya macho yetu, mwisho wa siku wanakaa meza moja na kunywa chai pamoja na kugawana vyeo. Hao wote wamoja.
Tatizo letu Watanganyika Ccm imetujaza fikra za uoga tokea mwanzoni, huku tukidanganywa na kuvuli cha Amani, Huku tukijidanganya kuwa Ukombozi Utakuja kama zawadi au kushushiwa na Mwenyezi Mungu,
Ukombozi wa kweli huja kwa Jasho,akili,na moyo uliokufa. Ona mfano Wamisri Mioyo yao wananchi...
Chadema itabidi wawe Makini sana na Hamad Rashid, Je anataka Muungano na Kambi ngapi? Wao wamekwisha ungana na chama tawala anatafuta nn huko Chadema? au wamemtuma? Hamad aliheshimika sana lkn sasa amekuwa mamluki,hiyo ndiyo faida ya kujipendekeza chama tawala wakawapigia kura Spika na Naibu...
Kwa ujumla Tbc Inakela,Pia Joe Kiampa anakela anaposoma magazeti anaogopa kusoma habari yoyote inayokosoa serikali na Jk anajifanya kama haioni, watu kama hawa siku ya ukombozi wanajifanya viherehere wa kutoa habari wakati kwenye harakati wanafyata mikia.
Kwa nini unasema Ridhwani atakuwa na wakati mgumu baada ya baba yake kumaliza kipindi chake ha URAIS mnamo 2015
Lewinski Ms Unajifanya hujui kama Mumeo fisadi. mwisho wao unakaribia, Hakuna malefu yasio na ncha.
Damu zilizomwagika zimesababishwa na viongozi wa Chadema, msitake kurusha.
Zomba, Acha Ushabiki na Umbumbumbu, Kwenye Ukweli Kuwa mkweli kama unahofia kuachishwa kz Nyamaza,Usijipendekeze kupita kiasi Uta*******************kwa.
Tatizo letu Watanganyika tunaongozwa na Vilaza na huu mfumo wetu wa Elimu wa Kukalili ndio matokeo yake hayo,Mashuleni,vyuoni kukalili, Ndio Matokeo ya akina Kombani,Werema,Mwama,Jk na mfumo wote wa Ccm kwa Ujumla, Hivi Kiongozi wa Nchi anaongoza kwa kutujaribu? kwa akili zao za kukalili...
Naunga Mkono Hoooooooooja AJIUZULU. Lkn Wanamageuko Kukubwa kwetu Chadema ni jinsi tunavyoteka wananchi Ukweli tunapoelekea ni pazuri kwa ujenzi wa Chama chetu, suala la Arusha limepelekea kuwafunua Upeo wengi kuona mustakabali wa Uongozi wa ubabe na wa ubabaishaji wa Serikali ya Ccm na vyombo...
Safi, lkn kunahitaji Mshikamano Zaidi. Pia Utambue wanatanganyika wamepoteza IMANI nawe na itakusost kurudisha Imani kwao Unaonekana Mamluki Kaka Badilika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.