Huyo Jamaa alitumia pesa nyingi sana kufanya kampeni, lakini alishindwa na kampeni ya chumba kwa chumba ya Kayombo, tena alishindwa kabisa, hakuna kura iloibiwa!!
Hivi inawezekana kweli kujua trh/mwezi wa kuanza kazi bila mkataba wa kazi ambao unaonyesha package yako itakuwaje? Kama ndo hvyo hawa NMB watakuwa wasanii!!
Tatizo uelewa wa Maisha ya Kindoa, hata kama mnaongea mambo ya kikazi, lazima kuwe na kikomo cha maongezi, embu fikiria ametoka kumpokea mumewe airport, wewe una muweka bize na simu, hv unafikiri ni ustaarabu? Je kama mlikuwa na mahusiano ya karibu ya kikazi ingekuwa rahisi hata familia zenu...
Soma hapa chini kuhusu Mwadui Mine
TheWilliamson Diamonds Limited Mine (commonly Mwadui mine) is an open pit mine andis the largest Diamond operating mine in Tanzania. It is located at Mwadui areain Kishapu district, Shinyanga municipal - 30km north east of Shinyanga municipaltown, 2.6km Off...
Majibu uliyoyatoa umeyafanyia analysis ya kutosha kama GT au umekurupuka? Kwa uelewa wangu kuhusu hayo makampuni uloyataja yanaweza kuwa katika level ya kati ya makampuni yanayolipa zaidi. usiangalie mishahara ya mtu mmojammoja kwa kuangalia majukumu na nafasi yake, usiangalie mambo wanayofanya...
Sikwamba Engineer Ndikilo hakupata kuwa na madaraka katka serikali ya ******, Huyu alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro, na ndiye aliyesimamia uchakachuaji wa Kura wakati wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010, uliompeleka bungeni Mteketa, kiukweli Mteketa alishindwa vibaya na Marehemu...
Kama kuna makosa mtarekebisha!! Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, Toleo la Mwaka 2000, Ibara ya 67; Inasema hivi kuhusu kuchaguliwa kuwa mbunge;
67.-(1) Bila ya kuathiri masharti yaliyomo katika ibara hii, mtu
yeyote atakuwa na sifa za kustahili kuchaguliwa au kuteuliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.