Yaani umefikiria ukaona kwamba utani watu wanaombana.kizazi cha PlayStation mna mihemko sana! Siku nyengine utasema waachaga na wapare wasiwe watani kisa wachaga wanahela
Nadhani mtoa mada ni matunda ya elimu aliyofundishwa na madaktari na wauguzi mpaka uwezo wake wa kufikiri umefikia hapo , angekua amefundishwa na walimu sidhani kama angekua na uwezo wa kufikiri jinsi hii pamoja na wote wanaosapoti maoni yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nafikiri tatizo ni labda ni mshahara, maana uwanjani kocha yupo vizuri, labda kama timu ulikua kwa mbinu za nje ya uwanja wakati kocha anavuta mpunga mrefuu
Inasikitisha kama mpka leo kuna wanaume na wanawake tunaanzisha nyunzi hapa kumnanga binti ambae anahitaji msaada wetu positively ili kumsaidia kupambana zaidi katika elimu. Hebu tubadilike watanzania wenzangu. Paula bado ni mtoto tusimkatishe tamaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.