UNANIKUMBUSHA MTKILA NA DP ya saa ya ukombozi ni sasa na magabachori, na Farao (Nyerere) na Yuda Eskarioti (Mrema lyatonga) mh ! cjui huyu mzee kafia wapi kisiasa?
nimekaa kimya toka thread hii ianze sioni jibu, Jamani haihitaji akili ya mhitimu wa PHD kuweka wazi simple ANS from simple QUEST.
kama sisi ni wapambanaji kweli , ni kweli tuna opposition katika kuliweka wazi suala hili? Bado nangojea maana, pamoja mimi sio mwanachama wala mshabiki wa CCM wala...
i thought nilipojiunga membership JF nakutana na watu wanaoelewa, kama huelewi simple tashtiti kama hiyo hapo juu kipi utaelewa ? but i know Mnaelewa lakini hamtaki kukubali, KIKWETE ameweza kukusanya mapato kuliko rais yeyote aliyetangulia Tanzania! pamoja na maneno mbofu mbofu kutoka kwa...
Jamani eeh Mnyonge Mnyongeni haki yake mumpe, jamaa yupo juu katika kukusanya mapato , kwa kifupi anatisha!
Big up JK, kata domodomo hizi, nakusifa kwa kuweka urasimu ktk kusamehe kodi kwa NGO NA mashirika ya dini, BAJETI IJAYO samehe kodi kwa Qurani na biblia tu, mengine yoote lipeni, eboo...
Good attempt, wapo wengi wamelia na katiba mpya lakini ukiwauliza ya namna gani? iliyopo ina mapungufu gani? iweje? posibly mdomo unaweza kuwa mzito. Bora mmeonyesha njia na ninafahamu mambo mengi mazuri mnaonesha, mlianza kuonesha njia kwenye uhuru wa nchi hii hadi ukapatikana, na nakumbuka...
Kuna habari nilizozisikia kwenye vyombo vya habari Kuhusiana na mtoto wa mkulima kukataa gari ambalo tayari amenunuliwa! Sitaki kuamini kuwa tokea mchakato wa manunuzi ambao kwa serikalini huchukua muda uanze huyu jamaa hakuwa aware, but ni yeye ambaye kwa kipindi chake kilichopita aliondoa...
Poor beleiver,opt to other religions there is no such thing as going beyond GOD but beyond CHURCH PRINCIPALS and as said beyond TRINITY, Remember no where in the bible does the world TRINITY exist because THE WHOLE IDEA IS FABRICATION. The DOGMA of which can not be explain by the bishops...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.