Kwanza naipongeza sumatra Iringa kwa kazi nzuri hasa kwa kuwabana wenye dala dala wanaokatisha njia.
TUNAOMBA DALA DALA ZA NJIA YA KIHESA KILOLO ZISIENDELEE KUGEUKA KWENYE KONA BAADA YA KUANZA KUTUMIKA KWA BARABARA YA RAMI VINGINEVYO MAAFA YANAKUJA.
Ni bora stand ya kugeuza isogee sehemu...
Kwa wale wadau wa kununua chupa chakavu za maji na juice tuwasiliane kwa namba 0753543236, ziko zaidi ya kilo 8000 vile vile waweza kuwasiliana kwa PM.
Naona kama vile unachelewa mimi binafsi nimefanya maamuzi kama hayo tangu October 2013 sasa nimerudi shamba napambana na kilimo cha umwagiliaji nina amani sana. Fanya maamuzi magumu.
Nashindwa kushangaa haya mazaga zaga yoote yaliyolundikwa mezani yamehusishwa vipi na tukio la kuvamiwa kwa Dr. Ni miongoni mwa mali zake zilizoibwa? Kajipange upya kama hamkujifunza kwenye conteiner la visu vya mahita. otherwise ile kauli ya ' wapigwe tu' inaendelea kutekelezwa.
Wapendwa nahitaji shamba la kukodi kwa ajiri ya kilimo cha mboga mboga, ( nyanya, hoho, kabegi,nk) liwe na maji kwa mwaka mzima kwa sababu napendelea zaidi kilimo cha umwagiliaji, lisiwe mbali sana kutoka Iringa Mjini. Karibu sana
Wakina nshomile hakuna kurudi nyuma fukuza hao madiwani ili wajiunge upande wa pili huko wataweza kufanya kazi ya kuwatumikia wana BKB ndani ya CCM kama wewe huungi mkono ufisadi basi ujue huna maana.
Mara nyingi tumekuwa tukiwasikia polisi wakizuia mambo kadha wa kadha yasifanyike kwa sababu za kiinterijensia, hawa ni wataalam waliobobea katika kutafuta taarifa muhimu ambazo kwa mtu wa kawaida sio rahisi kuzipata. Taifa limetumia kodi zinazokusanywa kutoka kwa walala hoi kuwaandaa wataalam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.