Habari ndugu zangu...
kama kichwa cha habari kijielezavyo,nina hitaji nyumba yakupanga...nipo mimi na mdogo wangu.
Hivyo nyumba ninayo hitaji ni vyumba viwili tu vyakulala yani chumba na chumba,mahali sehemu yoyote hapa Dar es Salaam,ilimradi nieleweke hili kama zingatio la kwanza isiwe nje ya...
Voic asante sana kaka...lakini zaidi wat kinda bize niwe nayo itanikip kufoget? coz na fanya kazi sehem flanflan adi late sana lkn ule muda ninaokua nimetoka kwa job najitaidi kujicontro nashndwa lastly naangukia ktk callng o mesejng kaka...
WHAT KIND OF BUSY BRO?
salaam alekyum ndugu wana jamii!
Una MAHABUBA kwa miaka kadha wa kazaa sasa,na penzi letu lilikua m'banano na moto moto...adi mkazoeana na mkachukuliana ka hakuna namna nyingine yakuwatofautisha zaidi ya yoote vitu vingi ambavyo man alikua m bishi kufanya au kuitikia wito juu ya kitu au jambo...
TATIANA...katika fikra za kawaida je naitaji kumwambia juu ya hilo siyo kwamba yy mwenyew inabidi awe ana chekecha bongo mana muda mwingine tunaeza kuwa tupo nae lakini anataka niondoke ili aende out na jamaa tu eti mshakaj wake au anaenda kum visit...
mimi nazan hapo kwa mtu mwenye kujali na...
...kona kali ukweli aukwepeki ndugu ata kama una uma lakini naamin ndiyo jambo bora linaloweka mustakabari imara kwa swala husika
...sijawai na sitazamii kuogopa majibu..............
mwagaaaaaa meeeengi na kweli TUPU....
...mapenzi-mapenzi-mapenzi....samahini wana jf?? Heshima na iwe nanyi nyote...
...sihitaji kutoa maelezo mareeeeeeeeefu ya tumetoka wapi na huyu mpenzi wangu bali naona bora niweke ubaoni kusudio lengwa la maandishi haya...
Kifupi na mpenzi wangu ni muda mwingi sasa tupo pamoja...
Lakini pamoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.