Sio vilevi, Ni kama Adam angekuwa kwenye utulivu wa kutosha, alipoletewa habari ya Tunda Angekataa.
Angejua Eve, kakosa nidhamu ya Eden, Hivyo angechukua bakora na kumwadhibu.
Ushauri sio kwamba hautasikika kwa Watanzania bali hautatumika.
Angejikita zaidi kuitisha seminar za Viongozi wetu.
Kuwaelimisha kuhusu Lishe itakayowasadia kuongeza Uwezo wa kufikiri. Ingesaidia sana kwenye Uongozi wao ivo Kuboresha maisha ya watu.
Hali duni ya Wananchi inawapelekea...
Inajulikana CCM wote wana Walakini, Hata anayepitishwa kuwa Presidential Material kwenye File uwa kuna mahali hapapo sawa.
Hii ni kutokana na aina ya Mfumo wanaoUtumikia.
Sasa kwa nini JK alaumiwe? Haraka nachokiona,
El alimusupport JK, lakini JK binafsi hakuonyesha kufanya ivo kwa EL, Hata...
Sio ndoa tu, Maisha haya ukitumia akili nyingi utagundua mambo mengi ni Upuuzi.
Hivyo kuwa huru utaishi katika Upweke sababu utajitenga na Vingi, Pia utajitenga na Wengi, Nao hawatakuelewa solution Watakutenga.
Gharama ya maisha ya aina hiyo ni kubwa sana, Sababu Itayagharimu maisha yako yote...
Kuna nchi tulikutana na Wana A. Mashariki wanne, Watatu Waliniambia wamewahi kuishi Tz, Wakaendelea kunitajia mikoa, wilaya hadi vijiji Walivyoishi.
Wakamalizia na Lakini, Nyie Mnapenda Sana Ushirikina.
Mkuu nguvu ya Kufikiri Sahihi katika jambo Sahihi Kwa Wakati Sahihi ni njia Sahihi ya kukufanikisha katika hilo jambo. Hii ni Asili.
Hata hiyo mikoa inayoitwa Imeendelea/Duni, kuna watu wa tabaka zote. Wakristo wanasema Aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo.
Support ya Serikali haikwepeki...
Sio huko tu, Mikoa mingi Hali Yake kiujumla ni Matokeo Ya Wakoloni kuwa hapo/kutokuwa hapo.
Baada Ya Kupata Uhuru, Serikali iliendelea na inaendelea Ku-project kilichokuwa Hapo tayari.
Kisaikolojia Hili limefanya Asilimia Kubwa ya Watu kujiona Superior/Inferior, kulingana na Sehemu...
Operation Kataa Ndoa ni sauti kuu kuwa Wanaume wanataka haki zao, Na kwa sababu Dunia Imewatelekeza basi Wameamua Kujitetea.
Kumuongoza Mwanamke Hakujawahi kufanikiwa, Huku nje story ni Nyingi ila Kwa Ground(Ndoa) ni tofauti.
Sakata la Eden halijawahi kupata Suluhihisho hadi leo hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.