Natambua kweli ni muhimu lakini kwa tanzania hakuna matekelezo kiasi umuhimu wake unapotea na mbaya zaidi viongozi wakubwa wanayaona lakin wanayafumbia macho kwakuwa kwao si tabu kwa maana maisha bora kwa wachache na bora maisha kwa wengi Tanzania.
Tanzania ni moja ya nchi amboyo inawawakilishi wanao tetea na kulinda maslahi ya wananchi moja ya jambo muhimu linalotekelezwa na wawakilishi ni kupanga bajeti na kusimamia utekelezaji, lakini inashangaza sana kuona kila mwaka bajeti huwa inapangwa lakini sidhani kama utekelezaji wake unafwatwa...
Hello wana JF ktk tafiti mbalimbali zinaonyesha wazi majina tunayobatizwa au tunayopewa na wazazi hufanana na tabia ambazo tunakuwa nazo tukifika ukubwani.
Na hii hugundulika baada ya kulinganisha watu wawili watatu na kuwafanya sample ktk jina wanalofanana na baadhi ya majina huwa na sifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.