Search results

  1. A

    Nafasi ya wasomi ktk miaka hamsini

    Hii miaka hamsini sio tunasherehekea kwa kucheza ngoma ,kuvaa tisheti,kubeba mabango ya kupongeza ujinga na kujipatia pa diemu, ukiwa kama msomi ni muda wa kuji evaluati usomi wako umetumikaje kuikomboa jamii, sio unasema tu tuna amani hebu tuache fikra butu, difinisheni ya amani inaanzia kwenye...
  2. A

    hivi tanzania kuna wanasheria kweli?

    ikiwa mtu anaingia tz kwa mara ya kwanza unaweza akasea hakuna wanaojua sheria,tunakuwa fooled ktk mengi.watu wanakuwa charged wrongly ili watoke mfano kesi ya aliyekuwa mkuu wa polisi kanda ..... bwana zo.... eti alichajiwa first degree murder, haya tafsiri yake m2 awe kwenye eneo la tukio sasa...
  3. A

    computer skills! computer skills! wakazi wa mwanza

    kazi kwenu wakazi wa mwanza ,ADEM sasa ipo mwanza kutoa mafunzo mbali mbali kwa ngazi ya diploma na sertificate,kwa masomo ya uongozi na utawala pamoja na kozi za kompyuta,chuo kimesajiliwa ni chuo cha serikali. chuo kipo makongoro kliniki karibu na MSD bohari ya madawa ndani ya eneo la...
  4. A

    Mpenzi amejichora tatoo (jina la mpenzi wake kabla yako)

    unajua mpaka msichana anafikia kujichora tatuu huko kwa bibi ni kwamba amemfiili sana labda tu mshikaji amemtosa lakini anampenda sana,kaka piga chini huyo demu fasta,mbaya sana kujua kuwa demu uliyenaye alikuwa anachapwa na nani/
  5. A

    Elections 2010 Baraza la mawaziri la Dr slaa

    :whoo:jamani hayo ni sawa ila mkumbuke ndani ya CHADEMA kuna wanaoihujumu na kuomba dua kila siku ife,wamewekwa na chama kikubwa cha upinzani kwake
Back
Top Bottom