Afrodenzi nakushukuru sana kwa mchango wako na wadau wengine japo wengine mananiponda lakini mimi napokea tu ushauri na nitatafakari kwa kina. Mfano Afrodenzi amegusia suala la kupima Ngoma, ni kweli hilo mimi nilimjaribu kumuliza je atakuwa tayari kunipa mzigo hata kama hatujapima ngoma, yeye...
Habari ndugu wapendwa wana Jf, heshima kwenu wote. Naomba mchango wa mawazo juu ya hili: nina girl friend ni mzuri sana,kazaliwa 87, ila tayari anawatoto wawili ila ukimuona ni kama hajawahi kuwa na mtoto vile,umboni dogo na anavutia.Hajawahi olewa ila bwana aliyemzalisha hao watoto kamelekeza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.