Pole sana ndugu kwa hali mliyo na jitahid kuwa mvumilivu na mwaminifu kwa mwenzio, pia mwombe sana mungu amsaidie mumeo apate kazi mapema nuweze kurud tena pamoja.
Pole sana ndugu najua unaumia sana, ila unapaswa kuchukua maamuz magumu lakini muhimu kwa mustakabal wa maisha yako, jambo sahihi kwa maisha yako kwa sasa ni ww kujiweka pembeni, kwan huyo mlikutana tu na upendo ukajengeka, usisononeke sana utampata mwingine mtakaye pendana zaid.
Fikra sahihi potofu inaweza kujengeka kwa mtu kuanzia akiwa mtoto na kwa kuwa Mzazi ndiye mwalimu wa kwanza kwa mtoto ndiye anayepaswa kumjenga mtoto katika misingi mizur itakayo muongoza hata atakapokuwa mtu mzima.
Pole sana mpendwa muombe mungu akupe hekima ya kutambua kinachoendelea na mumeo apate kurudisha upendo wake wa mwanzo kwako, jarib kujizuia usipate hasira kwa hilo, tumia busara na hekima kuzungumza naye. ila mwamini mungv kwan hakuna linalo shindikana kwake.
Kila mtu anajambo analoliwaza moyon mwake, na hakuna anayeweza kuona moyon mwa mwingine na kujua anawaza nini, laiti ungekuwepo uwezekano wa kuona mawazo ya moyo wa mwingine tungeaminiana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.