Search results

  1. J

    BETWEEN MEN N' WOMEN,WHO CHEAT MORe?

    Tausi sio vyema sana kugenerolaiz mambo tambua kuwa wapo pia wanawake wanaotoka nje kwa tamaa tu kama na pia wapo wanaume wasiopenda kutoka nje.
  2. J

    Advice

    Pole sana ndugu kwa hali mliyo na jitahid kuwa mvumilivu na mwaminifu kwa mwenzio, pia mwombe sana mungu amsaidie mumeo apate kazi mapema nuweze kurud tena pamoja.
  3. J

    Ndoa

    Binadam anaufaham wa mema na mabaya tofauti na wanyama. binadam na wanyama ni tofauti sana.
  4. J

    Naomba ushauri wenu wapendwa.

    Pole sana ndugu najua unaumia sana, ila unapaswa kuchukua maamuz magumu lakini muhimu kwa mustakabal wa maisha yako, jambo sahihi kwa maisha yako kwa sasa ni ww kujiweka pembeni, kwan huyo mlikutana tu na upendo ukajengeka, usisononeke sana utampata mwingine mtakaye pendana zaid.
  5. J

    ushuhuda

    Fikra sahihi potofu inaweza kujengeka kwa mtu kuanzia akiwa mtoto na kwa kuwa Mzazi ndiye mwalimu wa kwanza kwa mtoto ndiye anayepaswa kumjenga mtoto katika misingi mizur itakayo muongoza hata atakapokuwa mtu mzima.
  6. J

    Nataka nimuingize mjini

    Sio vizur kumfanyia mwingine jambo ambalo usingependa kufanyiwa wewe.
  7. J

    Neno kuu la leo: Upendo haugawanyiki kamwe wana jf!

    Uko sawa kabisa mpendwa. Ila je wale wanafunga ndoa na wake zaid ya mmoja inakuaje?
  8. J

    Dawa za nguvu za kiume

    mwanaume makini hana sabab ya kutumia hizo dawa.
  9. J

    Hili linanitatiza

    Pole sana mpendwa muombe mungu akupe hekima ya kutambua kinachoendelea na mumeo apate kurudisha upendo wake wa mwanzo kwako, jarib kujizuia usipate hasira kwa hilo, tumia busara na hekima kuzungumza naye. ila mwamini mungv kwan hakuna linalo shindikana kwake.
  10. J

    unamuombaje Penzi mwenzio

    Duhi unabaka mkuu?
  11. J

    majina ya wasichana

    Mama dada shangazi bibi
  12. J

    majina ya wasichana

    Aiseee??
  13. J

    Hivi kwa nini unaogopa kuoa au kuolewa?Unajua nini maana ya Ndoa?Biblia inasemaje?

    Mkuu nashukuru sana umetoa somo zuri sana naamini utasaidia wengi sana, hakika ubarikiwe.
  14. J

    Haya mambo ya unyumba tuyaachen tu!

    Hamna inaonekana huyo naye alikuwa akimtamani huyo mwanamke. Haiwezekani kwa mtu mwenye kujiheshimu akakubal kushawishika kihivyo.
  15. J

    Haya mambo ya unyumba tuyaachen tu!

    Dah! huyo jamaa ni mkatili, kwanini anakubal kutembea na mke wa msikaji wake.
  16. J

    Moja ya jambo gumu katika maisha ya binadamu ni kuaminiana

    Kila mtu anajambo analoliwaza moyon mwake, na hakuna anayeweza kuona moyon mwa mwingine na kujua anawaza nini, laiti ungekuwepo uwezekano wa kuona mawazo ya moyo wa mwingine tungeaminiana.
  17. J

    Wanawake wa ki-Tanga

    Sifa nyingine wanakuwa sio wagum kutoa penz hata kama anamume ukimwomba anakupa tu.
  18. J

    Wanawake wa ki-Tanga

    wadigo inasemekana wanajua sana kupika, na wana mbinu nyingi sana za kuwateka wanaume kimahaba.
Back
Top Bottom