Baada ya line yangu ya Tigo kuleta shida, nilienda dukani kwao, wakanishauri nichue line mpya, nikasema sawa.
Wakasema nilipie sh. 1000/- nikalipa. Nilipoomba receipt ya malipo kimbem be kikaanza........
Naam, na huko usipopajuwa wala huwezi kusema nilikuwa naumia, ohooo, mara mara li tan 7 la mchana limenigandamiza!, nani kasemaa?......yapo mengi ya kutafakari lkn niseme tu kuwa kufariki kupooooo na ni hakika na hakuumi. USIOGOPE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.