Nimeingia kwenye hiyo link, lakini nadhani kuna kitu ulisahau(?) kucopy. angalia hapo chini kwenye red.
Dini za jadi (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%){{Sensa ya 27 Agosti1967[1]}}
ingia kwenye hizo link nilizokuwekea na uangalie ni ya mwaka gani.
ingia na hapa...
Mkuu naomba source ya hizo takwimu ulizoweka hapo.
According to CIA:
Tanzania mainland - Christian 30%, Muslim 35%, indigenous beliefs 35%; Zanzibar - more than 99% Muslim
https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/fields/2122.html
ingia na hapa
Religion in Tanzania -...
Hapo ndo nashindwa kuelewa.
Wayahudi wenyewe hawamwamini Yesu kama ni Mungu.
Wewe unasema Yesu amekwambia wokovu unatoka kwa wayahudi(wasio mwamini Yesu). na umehimizwa uwabariki wayahudi.
Hebu nifafanulie hapo.
Acha kupotosha. unaingiza maneno unayoyataka wewe.
Huoni aibu kufoji Quran kwa ajili ya kutetea dini yako? kweli umefilisika.
Quran, Surat An Nisaa aya ya 171 inasema hivi,
Enyi Watu wa Kitabu! Msipite kiasi katika dini yenu, wala msimseme Mwenyezi Mungu ila kwa lilio kweli. Hakika Masihi Isa...
Tumia akili ya kuzaliwa tuu.
Jihad inayosapotiwa na America na Ufaransa!
Watu wamejaribu kushindana hoja kwa kutumia vitabu wameshindwa, sasa wanaanzisha propaganda.
Wakristo, naombeni a single verse kutoka ktk Quran au Hadithi inayoelekeza waislamu wafanye 'Sex Jihad'.
Umalaya ni umalaya tuu...
Pumbavuu!! Yaani hadi ajali zitokee ndo kampuni ifungiwe!!
Tunapunguza ajali kwa kusubiria kampuni zisababishe ajali ndio hatua zichukuliwe!!
Bora serikali ikae kimya tu kwani haipo makini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.