Pole sana ndugu, hauko peke yako. Kuna watu wanajibu ovyo sababu hawajawahi kumbana na hiyo hali.
Ninapitia situation kama yako, kuna mafunzo mengi tunayapata na kupata ufahamu dunia haiko kama wengi tunavyodhani, mambo hugeuka ghafla.
Iko hivi, nina sifa kielimu kama wewe na nimekua kwenye...
Naongea kwa experience ..Watoto wangu 2 walikua na ishu kama yako..hawakugeuka mpaka muda unatimia na walipitiliza kidogo...the only option ilikua ni upasuaji na wakatoka salama. Hii ilipendekezwa na madaktari bingwa wa Muhimbili na Selian ambako walizaliwa kwa wakati tofauti na miaka tofauti...
Miaka karb 20 iliyopita,mdada wa watu alinifata akanitamkia zaidi ya mara 2 tukiwa form 1. Ila sikua na mapenzi nae, so nikampotezea. Miaka 13 mbele nakutana nae mlimani city kawa mrembo balaa. Tuliongea machache, kifupi kila mtu alikua na mtu wake.
Sijajua kwa wanaume wenzangu inakuaje! ..ila kwa mtu nilie nae serious ntahakikisha mahitaji yote natimiza..ila masharti na vigezo kuzingazitiwa...mfano;
1. Ananipenda kweli?
2. Hiyo hela anaombaje..kwa adabu au namna ingine..sipendi dharau
3. Uwezo wa kifedha ..kama ipo ntatoa
4. Hilo hitaji ni...
Mbona Hapa hapa Arusha unaoekana vizuri tu..mimi nikiwa chumbani kwangu nauona safi kabisa kupitia dirishani..huku Moshono tanganyika parkers...kila siku hasa hali ya hewa ikiwa clear.
Sio sahihi kwanini? Wanaopewa madaraka wakiwa na maono kama yako hatuwezi fika popote! Lazima waone inawezekana kua na maji ya kutosheleza Dar nzima na ziada juu. Tuache kufikiria vitu vidogo vidogo na mawazo ya kushindwa.
Afadhali umestuka mapema ..ni wake up call kwa tulio wengi! Mi naona vitu vya msingi ili tusipotee sana ni kama ifuatavyo:
Kua karibu na Mungu kwa kumaanisha ili atupe hekima na maarifa
Kua na marafiki/ kampani sahihi inayokupa wivu wa kimaendeleo..ukikaa karibu na watu wanaoongea maendeleo...
Kwa walioko Arusha mtafuteni huyu mtu (Dula..0766241113). Mimi kanichimbia kisima huku Moshono na tumepata maji ya kutosha lt 10000 tank linajaa mara moja na hayana chumvi.
Note: Anachimba kwa mkono
Kama mwamba ni mgumu kuna sehemu atalazimika kulipua baruti
Bei mnaelewana...
Wadau..nimeongea na wahusika PPF kuulizia situation. Wanasema ni kweli wamesitisha kwa oda toka uongozi wa juu wa shirika. Ila waliopeleka fomu zao za madai kabla ya 12 may 2016 watalipwa mafao yao kama kawaida..ila kuanzia tar 12 hatalipwa.
Watoto wengi tu wa tz wamefanya wonders..huyu alihutubia mkutano wa afya wa dunia mwaka jana..Geneva. link hiyo hapo.
Can a 17-year-old change the world? | Save the Children International
CCM kwa kusomba watu hamjambo..nilikua Kilwa kikazi ambako Magufuli jana alihutubia..njia nzima wakati tunatoka Kilwa hiyo jana saa tatu asubuhi kurudi Dar ni makundi ya watu walioandaliwa na kuvishwa sare za CCM. Kuanzia Kilwa kwenyewe..Nangulukulu..Kipatimo..Ikwiriri..Kimanzichacha..Kibiti...
Crdb kuna wizi..Mimi pia pesa wangu tsh laki mbili hivi majuzi hyo hivyo wamenipiga..nakomaa nao kesho mpaka warudishe... Majibu wanayotoa ni ovyo na mepesi..ntawapeleka mahakamani wasiporudisha.
Yanakuhusu sana kaka..kwani kila mwanajamii ana wajibu wa kutoa taarifa kwenye mamlaka husika ie, polisi, viongozi wa mtaa, kata nk pale anapoona haki za mtoto zinavunjwa. Hii imebainishwa katika sheria ya mtoto ya mwaka 2009...na katika sera ya maendeleo ya mtoto ya mwaka 2008.. Inakuaje maovu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.