Hawa WATANZANIA wanaolalamika kuwa maandamano yanawazuia kufanya shughuli zao ni wa nchi ipi? Nadhani ni wale wanaofanyia kazi zao ikulu? Sasa camping zikianza itakuwaje?
Ccm na serikali Yao wametengeneza zaidi ya
Billion 150 kuhakikisha ukawa inasambaratika
Lakini mpaka sasa wameambulia kuondoka
Na lipumba tu ukawa iko Imara lowasa yuko Imara
C cm mwaka huu mtaimba nyimbo zote:
Halafu watu wanaishabikia chama kinachotumika
Kodi zao kuua vyama...
Ushahidi utatolewa
Mahakamani maana mtuhumiwa yuko
Polisi ukitoa sasa hivi nyaraka utaharibu
Mwenendo wa kesi . Zito yeye nyaraka zake
Ziliwekwa hadharani sababu kesi yake
Haikuanzia polisi maana ilikuwa ni
Ya kuhujumu chama na sio ya njama za
Mauaji Kama alivyo kuwa anafanya...
Safi sana CDM hii ni sheria nzuri sana hasa
Kwa hawa wanafikina watumishi wa Maccm
Wewe : eti demockrasia Wewe unatumika
Kuua chama alafu tufanye je chama kisife
Suluhu nikatiba tu ndio maana Maccm
Yamechakachua Rasm ya warioba
Kwa kuogopa haya vivaa CDM hongera
Katiba ya chama:
Katiba ya chama ndio ya kwanza yenye mandate
Ya kumvua uanachama mtu yeyote maana
Hata Kama ukisema ni kamati kuu au kikao gani
Lazima kingefuata matakwa ya kikatiba.
Zito wakati anapeleka shitaka mahakamani
Alikuwa anajua matokeo yake yeye ni msomi
Hilo alilijua. Hapa katiba imetendewa...
Watu waliovaa yebo yebo ndio wawataabishe
Majeshi yetu yote na mizinga iliyoko huko
Leo siku ya 4 Sijui 5 hao watu wana silaha za jadi
Kwa mujibu wa chagonja : eti wametoroka
Sasa watanzania tulitakiwa tupeleke
Batalian ngapi za Jeshi kupigana na wavaa yebo yebo
Kweli ccm imekuwa mene...
Wazee hio ni cinema ya kutungwa na
Wana siasa waliofeli wa ccm hakuna cha ugaidi
Wala uhalifu watanzania mtadanganyika
Hivi mpaka lini wenzenu wanatafuta kisingizio
Cha kuzuia mikusanyiko ya vyama vya upinzani
Wasizuie ile katiba inayolazimishwa :
Tanga ni full cinema safari hii starling mwenyewe
Yuko magogoni hajasafiri anaona jinsi
Cinema ilivyofeli kabla hata ya kuanza:
Ccm bana! Ni mene mene tekel na Peres :
Hii nchi yaani hadi aibu watanzania
Wameharibiwa na moto wa mwenge
Ghafla tunakuwa wapole Kama mbwa
Anavyomuona chatu hakimbii wala kupambana
Badala yake hulialia na kujiandaa kukaa mkao wa kumezwa
Uchafu unaofanyika bmk watanzania
Tumepumbazwa na nini?
Pumba tupu eti wasomi ni upumbavu mtupu
Sijui wamelogwa na nani kumbe nchi hii hai
Hitaji tena kuwa msomi ili uongoze hii nchi
Ya wadanganyika ni ujue tu kucheza na akili
Za watu basi kwa kuhamisha MATUKIO
Ufafanuzi wa Kesho utatolewa na nani?
Mahakama au ni press conference ? Hebu
Tuwekeeni tujue sehemu nyingine nimesoma
Kuwa maamuzi mpaka ijumaa je maamuzi
Ya Leo ni mwelekeo au sehemu ya maamuzi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.