Hii ni very confusing...., kwahyo kumbe napotembea kwenye mizunguko ya kawaida mtaani kwenye hizi speed za 30, 40, taa inatakiwa iwake kwenye dashboard...., nikiwa highway kwenye maspeed 80 huko ndo taa izimwe hapo kwenye dashboard..., ndivyo navyoelewa sasa.
Na je nini madhara ya kufanya...
Ni simu aina ya Infinix NOTE 7. Ghafla iliacha kutoa vibration. Nimehangaika kufanya settings bila mafanikio, nimejaribu ku-restart simu wapi. Kipi naweza kufanya wataalam?
Nina Carina si, baada ya kubadilisha oil seal gari inatoa moshi sana ukipiga silence...
Fundi kanishauri kufanya overhaul, kuna mtu kaniambia ukifanya hivyo hiyo inakuwa siyo gari tena.., ushauri wataalam..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.