Kabla ya kustaafu unapeleka maombi rasmi Kwa mwajiri Ili uingie kwenye bajeti ya mwaka husika wa fedha , lakini ukichelewq kufanya hivyo unaweza kuchelewa kulipwa mpaka hapo utakapoingia kwenye bajeti ya serikali
Habari Wanasheria mlioko humu,
Mimi nilijenga nyumba yangu maeneo yasiyo rasmi ( squatter) tangu mwaka 2014 na kuhamia , kipindi hicho hakuna barabara , umeme Wala maji.
Wanacnchi tulijichanga wenyewe na KULETA huduma MBALIMBALI kama vile barabara , maji na umeme na kipindi chote hicho...
Matundu 2 Yaani k na nnya yana ukaribu mno mwanamke asipokuwa makini anashutukia imeingia igunga, na hizi style za kichokozi zinaweza kushawishi mwanaume uzame Kwa mpalange, roho wa Mungu atuepushie mbali na haya mbalaa kibaya zaidi Kuna wanawake wanafuraahia hii MICHEZO na wamekuwa wengi siku hizi
Ukiwa na mwanamke kama huyu mtoa mada ujue una hasara tupu Yaani kiufupi bajeti hapo ni zero, hata akiwa ndani huyu wa hivi haoni aibu kutoa vitu mfano vyakula kuwapa hao mashost zake na mwisho wa picha hakawii kukwambia baba Fulani Michele au mafuta yameisha , wanawake wa hivi ni mafala sana...
Wanawake Huwa. Mnazingua sana ukitolewa out agiza kinywaji au chochote kitu ambacho unaweza kujilipia , sio unaagiza mavinywaji au vitu vya gharama kubwa wakati hujui MFUKO una Nini wa huyo bwana Ako au hakikisha huyo mtu wako anakupa uhakika kwamba agiza unachotaka
Hata wangekuwa 100, shida ni kwamba wanawake mna roho mbaya sana, nimeshuhudia visa vingi vya watoto kunyanyaswa na mama wa kambo, hata kama mwanamke amekutwa na watoto wa kwake atawafanyia wema ila wa Mume Cha moto watakiona
Hizo ni roho mbaya tu za wanawake , mwanamke anaeweza kulea mtoto asie wake katika 100 utaweza kuambulia 2 au 0 kabisa, mtoto anakuhusu Nini au ana makosa Gani SI ukimkuta?
Mtu anaetumia ARVs Kwa ushahihi haambukizi HIV Kwa asilimia nyingi mno na hasa kama unamuandaa vzr wakati wa sex na watoto mnapata vzr tu , ila Sasa baada ya kujua status ndio balaa linapoanzia Nina uhakika hata hamu ya kumsogelea huna! Nendeni Kwa washauri nasaha watawapa namna Bora ya kuishi ...
Uliyoaandika hayana ukweli hata kidogo Ngara ni wilaya iliyonyuma sana kimaendeleo Kwa sababu ya watu wake kuwa wavivu sana, wilaya hii inaogopeka Kwa uchawi na wanawake wengi ni wachawi balaa ww nenda kaoe mhangaza kama hujalogwa utaniambia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.