Ili kuenzi mchango wake katika elimu naona wizara ya elimu kupitia NECTA waweke utaratibu wa kuhakikisha kila cheti cha mwanafunzi aliyesoma shule ya kata kinakuwa na nembo iliyoandikwa "Dr Kikwete Product" maana alama zilizo katika kile cheti (na/au ufanisi/uwezo wa kitaaluma wa mwenye cheti)...
Napendekeza bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu "High Edecation Student Loan Board" iitwe Dr Kikwete High Education Student Loan Board" maana katika kipindi cha uongozi wake imeweka "means testing" inayofanya kazi kwa ufanisi na kuweza kuwatambua watoto wa matajiri wanaojilipia huku...
Kupanga ni kuchagua, kama tumechoka kusikilizia haya yote basi tuamue kufanya kama Misri, Libya n.k na ili tusikilizie ladha ya mabomu ya machozi na risasi za moto kwa ajili ya kukifanya kizazi kijacho kusikilizia matunda ya tutakachokisilizia !!!
Mhhhh!! Preta huko ni kuujifariji! Hasauliki mtu ng'o. Kumbuka kuwa tukio hili ni mojawapo ya remarkable events hivyo kama huwezi kulisahau bila shaka huwezi kumsahau mliyelitenda naye
Kuna sifa nyingine muliyoisahau! Mwalimu yuko mobile anaweza kuishi na kufanya kazi sehemu yoyote. kwa hiyo mme akihamia popote anaenda na familia. Ogopa fani zinazolazimisha mme na mke kuishi mbali kwa sababu ya kazi.
Angalia msitupe data zilizochakachuliwa! Kwa vyovyote iwavyo, ni lazima busara itumike ila nadhani ishu hii ni ya kwenda nayo kwa makini. Ila tusijikite sana katika kujadili mambo ya ZITO tukasahau mambo ya msingi na kuwaacha mafisadi wakichekelea.
Acheni woga! CHADEMA ni zaidi ya ZITO na Zito alitakiwa kufukiri kabla ya kufanya uamzi wa kutoingia bungeni. Kama vipi alitakiwa kuomba radhi tofauti na hapo avuliwe vyeo vyote. Kimsingi mimi nilimuamini sana na nilidhani mbeleni angeweza kupeperusha bendera ya chama kama mgombea wa urais, ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.