Search results

  1. T

    Suala la TTCL na Airtel limeishia wapi?

    Wadau, heri ya mwaka mpya 2018. Naomba msaada tutani; - Ni nani hawa waliokuwa kwenye bodi ya TTCl mwaka 2005? Bila shaka Mkapa Benjamin alikuwa rais wakati huo. Lakini hao board members walikuwa ni akina nani hao watanzania, hasahasa huyo mwenyekiti wa hiyo bodi alikuwa ni nani? Naombea tu...
  2. T

    Suala la TTCL na Airtel limeishia wapi?

    Nani hasa walikuwa ni wahusika wa hili sakata? Yaani mwenyekiti wa bodi kipindi hicho cha 05/08/2005 na hao wenzake wanne walikuwa ni akina nani? Naona walimtaja mmiliki wa hisa moja wa nje lakini ilipikuja kuwataja wabongo Omar Nundu akapotezea hiyo.
  3. T

    Zitto Kabwe is Yet to be a Uniting Figure

    Tatizo la Zitto ni mwepesi sana ku'compromise. Kifupi na yeye ni mpiga deal wa kawaida tu.
  4. T

    Kusitisha Mikataba Mikubwa (Mining Moratorium); Magufuli Asipoteze Nafasi Hii

    Hivi ndiyo kitu inaingia akilini,na si ile mambo ya Prof Kabudi.Unafanya mabadiliko ya sheria za madini kisha unasema hazitahusu mikataba ambayo nchi iliingia zamani na wavunaji hawa wa madini yetu,huu ni uchizi.Unataka kwenda ku'negotiate mini na wezi?
  5. T

    Prof. Kabudi: Sheria mpya za madini hazitahusu migodi inayoendelea

    Haina maana yoyote basi kama tutaendelewa kuibiwa tu,tumelogwa sehemu si bure.
  6. T

    Rais Magufuli akamilisha uteuzi wa Baraza la Mawaziri, Makame Mbarawa abadilishiwa Wizara

    Profesa Jumanne Maghembe, wapo wawili au ni yule yule alikuwa wizara ya maji awamu iliyopita?
  7. T

    Profesa Muhongo aiagiza TANESCO ishushe bei ya umeme

    Hakuna kitu kinaniudhi kama gharama za service charge. Inaudhi sana unyonyaji wa hivi.
  8. T

    President Uhuru, Moi and Biwott in meeting at State House

    Whom do they want to Ouko this time forth? Let it not be RAO Kenya will explode this time.
  9. T

    Prof. Lipumba: CHADEMA wamepoteza dira

    Nd'o gia yake ya kurudia CUF, huyo nd'o Lipumba bana, wasiomfahamu na mazwazwa ya wengi tu watamuunga mkono, huyu jamaa haaminiki kamwe ni kama JK tu.
  10. T

    Prof. Lipumba: CHADEMA wamepoteza dira

    Nd'o gia yake ya kurudia CUF, huyo nd'o Lipumba bana, wasiomfahamu na mazwazwa ya wengi tu watamuunga mkono, huyu jamaa haaminiki kamwe ni kama JK tu.
  11. T

    Wizara ya Nishati Angalieni bei ya umeme, service charge ya nini?

    Meter ina bei gani ya ajabu acha uongo wewe. Ile meter ni kifaa cha kawaida tu haina tofauti yoyote na na meter za billing zingine kama za maji.
  12. T

    CHADEMA tujirekekebishe kwa haya...

    Hata madiwani wao wa awamu iliyopita esp. Mby mjini ni warushwa hatari. Sasa hivi nadhani itakuwa balaa zaidi.
  13. T

    Mwenyekiti wa UWT Arusha ajiunga CHADEMA leo

    Kuhamia Chadema sasa hivi kabugi vibaya sana hata hivyo.
  14. T

    Mega Thread: Safari za Rais Magufuli nje ya Nchi

    JK alikuwa broker
  15. T

    Magufuli yuko na wananchi, vyama vya siasa vimepotea kabisa

    Upigaji upo kwenye vyama vyote si CCM, si Chadema kwa kutaja tu hivi viwili kwasababu ya wingi wa wafuasi.Na waaminifu wapo kwenye wapo kwenye vyama vyote tena wengi wa kutosha Magufuli kaaminiwa na watanzania, na hakuna jinsi angeweza kuwa rais wa nchi bila kupitia chama chochote kati ya...
  16. T

    Magufuli, unayajua ya Hazina na Msajili wake mpya?

    Mkuu Lunyungu, ninasikitika sana jinsi ulivyojitoa ufahamu kwenye hii issue na kuanza kumpiga madongo Lawrence Mafuru huku ukweli wa rekodi za kichunguzi ukimuonyesha kuwa ni msafi kuliko wengine wote hao. Sijui ni Msemwa yupi unayemuongelea hapo juu, sijui ni yule alikuwa NDC miaka ile au...
  17. T

    Upinzani ni hatari

    Hivi wewe Mwaipungu ni wa wapi wewe, mbona unawafedhehesha kina Mwa, kiingereza gani hicho?
  18. T

    Nina wasiwasi na ajira ya Mkurugenzi Mkuu TANESCO

    Mramba ni mtu mwadilifu mno na ni mcha Mungu sana
Back
Top Bottom