Tunachopaswa wa Tanzania nikutokuwa na papara ya kukurupukia mambo, elimu ya sheria tu bado hatunayo je hizo SHARIA ZA KADHI tutaziwezaje? na haki ya kumtetea mtuhumiwa kwa mawakili wasio waislam haitakuwepo......lakin kama kwenye vyuo ambavyo sii vya kiislamu tumekuwa tukisoma canon law.....na...
Habarini wanajamii wenzangu naombeni msaada wa jinsi ya kuanzisha na kusajili partnership organisation(i need the whole procedure)mpaka iwe imekamilika na kusajiliwa..asanten
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.