kama mtu amekuambia hakutaki maana yake hakutaki, sasa ww unaendelea kufukuzia kitu gani? humjui hakujui! tena kwa sasa ni bora uepuke na mahusiano kabla ya kupima ngoma huwezi jua Mungu anakuepusha nini? kaa chini ufikirie kama hakupendi hachana na kama amesema hataki olewa na wewe mwache dont...
Baba mzazi kama kweli anampenda mwanawe ajue wazi kuwa huyo mke si wake bali nijinamizi maana amekuwa katili sana hana chembe hata ya huruma hata kama mtoto aliiba hela ndo amng'ate meno? labda aliona wivu wa kufaulu nakuwa wa 10 bora. Huyo mke ni balaa. hafai. hela yenyewe kapewa na baba yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.