Wasomi wetu bwana!sijui anafikiria nini!
Mbona hazungumzii katiba ambayo ni msingi wa yote?
Msomi anaonekana amekata tamaa sana,yuko defeated na hili tetemeko.....he is not a good captain.
Tuendelee Kusupport hivi hivi vilivyopo.....hakuna haja ya kukata tama. Siku zote ukombozi ni mgumu sana. Najua kwamba kila mtanzania anahamu ya mabadiliko, hali iliyopo CHADEMA ni nzuri kwetu kwani itatusaidia kujua makosa yaliyopo na kuyarekebisha, TUTAVUKA TU HIKI KIHUNZI.
Mmmh hii sasa kali.......ZZK ni mtoto wa watu? sisi watu wa pwani tumekusoma...Lakini mpeni sifa, mwisho wa siku atafukuzwa chadema, na atabaki peke yake
Huwezi kujadili misingi bila kujadili nidhamu ktk chama , ZZK ni mtovu wa nidhama,anatakiwa ashughulikiwe accordingly ili iwe fundisho kwa kila mwanachama.
Ben Saanane,
Let us do it Korean style, Mtela Mwampamba is a traitor to CHADEMA for all ages, a disgrace to human race, a despicable political careerist and trickster, human scum and worse than a dog.
Some thing is wrong with you my brother!heshimu viongozi wako....unaonekana wewe ni mtu wa migogoro sana...huyo Zitto mwenyewe yuko kimya akitafakari, nyie wapambe mnaropoka tu kwa kusingizia demokrasia.
Mi nafikiri issue hapa sio kuwahi kuwaona wahanga wa milipuko.Mi naona huu ni unafiki na ni upuuzi kujifanya kimbelembele wa kwenda kuwaona wahanga wakiti huu ni uzembe wao wenyewe!Watu wengine wakati kama huu ndo umekuwa wakijionyesha kama wanajali sana kumbe wanafiki,wanaenda kujifanya wanatoa...
Hizo ni challenge ndogondogo ktk uongozi na wala sio hatari hata kidogo...for Gold to be Gold then it must pass through furnace,hizo challenge zitatufanya tuwe strong zaidi na zaidi.
ccm wamezoea kuvunja sheria makusudi,halafu wanasema ulieonewa aende mahakamani kutafuta haki,hiyo kesi inatumia miaka kumi....The tree of liberty must be refreshed from time to time with the blood of tyrants from time to time.....Oooh yes let the blood flow as long as its meant to bring about...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.