Makonda kwa sasa anafanya kazi za Taasisi nyingi
Anasaidia Majukumu ya Wabunge
Anasaidia Majukumu ya Mahakama
Anasaidia Majukumu ya TAKUKURU
Anasaidia Majukumu ya Polisi
Anasaidia majukumu MENGI MENGINEYO
ANAFICHUA MENGI YALIYOLALA
Wasalaam
Kabla magari ya KUKODISHA maarufu kama Costa hayajarasimishwa nilikuwa nashuhudia ABIRIA WENGI WAKIIMBA NYIMBO ZA MAOMBOLEZO
Naukiza swali, zile nyimbo zimepitwa na wakati? Maana siku hizi ni KIMYA KIMYA
Tuna kawaida mtu akiandika kitu cha kugusa mahala fulani utasikia umetumwa
Mimi naandika haya ambayo nimetendewa na nimeona hii ni fursa ya kuwasilisha dukuduku langu
Huenda nisifunguke sana lakini ITOSHE KUSEMA MORENA HOTELS hasa Morogoro MJIREKEBISHE SANA.
Huduma zenu ni mbovu sana na za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.