1. Muda: Treasury bonds zina muda mrefu wa kukomaa, ukilinganisha na Treasury bills ambazo zina muda mfupi wa kukomaa. Hii inamaanisha kuwa wawekezaji wa Treasury bonds wanakabiliwa na hatari ya riba kwa muda mrefu zaidi.
2. Kubadilika kwa Thamani: Thamani ya Treasury bonds inabadilika zaidi na...
Muziki wa Afrika Mashariki bado uko hai na unaendelea kubadilika. Ingawa muziki wa Nigeria umepata umaarufu mkubwa katika miaka ya hivi karibuni, hii haimaanishi muziki wa Afrika Mashariki umepotea. Kuna wasanii wengi wenye vipaji kutoka Afrika Mashariki ambao wanatoa muziki bora katika aina...
Bila shaka miaka ya mapema ya 2000 kuanzia 2000 mpaka 2006 ilikuwa ni kipindi cha mapinduzi makubwa katika muziki wa Afrika Mashariki. Ilikuwa ni zama za ubunifu wa hali juu, ushirikiano wa kikanda, na umaarufu wa kimataifa, mara nyingi ikirejelewa kama "enzi ya dhahabu" ya muziki wa Afrika...
1. Tofauti Kati ya T-Bills na T-Bonds:
Kipengele
T-Bills
T-Bonds
Muda wa Kukomaa
Siku 35, 91, 182, au 364
Miaka 2, 5, 7, 10, 15, au 20
Riba
Aina ya riba ya punguzo (discount rate)
Aina ya riba ya kuponi (coupon rate)
Hatari-risk
Chini
Juu
Uwekezaji wa Chini
Tsh 500,000
Tsh 1,000,000...
Kwa Sitti kuna sita
1. Wa kwanza Mwanamke (Sijui jina)
2. Wa pili Abbas
3. Wa tatu Dr Hussein
4. Mohamed
5. Abdullah
6. Amour
Kwa Khadija kuna watoto sita
1. Asha
2. Fatma
3. Njuma
4. Salama
5. Halima
6. Asma
Nalipa 200,000 umeme kwa mwezi sawa na units kama 550 hivi. Kwa siku average ni units kama 18 hivi.
-Nawasha AC full time chumbani
-Nina friji kubwa sebuleni na Dogo chumbani
-Nina washing mashines
-Nina Air matress
-Music systems
-Nina appliance nyinginezo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.