Mkuu, siyo Uzuri wa hospital. Ni situation ilivyokuwa. Labda hawasemi kuwa tatizo lilikuwa ni nini. Inawezekana ilikuwa ni Covid 19. Otherwise, haiwezekani mwenza wako yuko mahututi wanakufa halafu usiende kumuona.
Tanzania wanajifanya maskini jeuri. Yaani miaka ya 78 na mwanzo mwa 80 nchi nzima ilikula sembe la USA .. tena ilikuwa ni kile kipindi ambacho tulikuwa tunajiita wajamaa (Ka Noth Korea kadogo ka Afrika). Sasa si wangetumaliza wote tu kwa kutumia hilo sembe ..... anyway, wawapelekee Sudan ...
Hivi unafikiri madaktari wote ni vipanga .... tena hasa hao waliosomea sijui China au Urusi. Wengi wao hawakuwa na qualification za kupata chuo hapa wakaenda kuponea kwenye hizo scholarship za Urusi. Huyo Dr. Gwajima kama umesoma na ukamsikiliza utagundua tu .....!!
Tatizo Watanzania wanapenda sana story za mtaani. Halafu story ikishasambaa sana mtaani watu wakaamini hata viongozi wetu nao wanaiamini.
Miaka yote tumechanjwa chanjo. Watoto wetu wamechanjwa ... leo kuna watu wamekuja wanakuja na story kwenye chanjo ya Covid na watu wanaamini. Sasa mbona...
Mkuu,, sasa kwenye mashindano ya kusoma Quran ulitegemee awambie nini .... wote waliokuwepo pale ni Waislam. Wangekuwepo Wakrito halafu akasema hao ningekuelewa.
Hii hii serikali inayoshindwa kuwachimbia watoto mashimo ya vyoo unategemea inaweza kuwalinda kwa lipi .... kama wana hiyo jeuri si uwambie wawapelekee watoto mchele wa Kyela .....!!
Sasa anakula siyo wewe ... kwa nini ulalamike. Kama TBS wanasema uko salama wewe ni nani kusema hauko salama.
Waacheni watoto wa watu wale kama hataki kwa nini serikali isipeleke chakula chake .... balada ya kusubiria Wamarekani wafanye.
Mkuu, TBS ilichofanya ni kuthibitisha ubora. Kazi ya kutoa vibali na kutoa msamaha ya kodi ni serikali. Sasa kujifanya hawakuwa na habari ni uongo.
Pia kudai kuwa tuna Michele wa kutosha siyo kweli. Tanzania inaagiza Michele toka nje kila siku mpaka tunaletewamchele wa kichina.
Nevertheless...
Bashiru Hakuchukua muda mrefu. Aliondolewa week moja au mbili baada ya mazishi.
Kwa jinsi alivyo Msemaji kabla na baada ya uteuzi... Kimya chake baada ya kutemwa kinafikirisha.
Vitu vingi haviko sawa.
Watachukuje ndege kwenda Chato kumtaarifu mama yake halafu washindwe kusafirishia Makamu wake kutoka Tanga tu... Kilometer chini ya 500.
Kama kweli walisema katiba baada ya kifo ilikuwaje wa kakosea siku za maombolezo na kutangaza siku 14 badala ya 21 kama Katiba...
Hapo hawezi kusema yote. Lazima kulikuwa na watu walitaka kuspin. Haiwezekani Wakuu watatu wa vyombo vya usalama wasije hilo wakati ni common knowledge kwa watu wa mtaani. Succession iko wazi.
Ukimsikiliza vizuri, kuna maswali mengi ya kuukiza.
Yaani Rais mgonjwa anakaribia kufa mkewe yuko nyumbani siku nzima....
Mpaka wanakufa hana habari!?
Wakati Pengo anatafuta alikuwa kwenye ibadan. Je ni ibadan gani hiyo. Usually, catholics siku za kazi huwa na ibada asubuhi sana kwenye saa...
True. Bunge la CCM is compromised hata kabla ya JPM. It only got worse. Spika hana kiwango. Bora Ndugai, ingawa naye hakuwa Spika material.
To be honest we are going down. If we are not careful we'll be a Banana Republic in a few years to come.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.