Sijasema urudi ukasome historia, kama ilikupita ndio basi tena. Bali rudi shule maybe utaelewa kung'amua mambo, hasa maandushi, maana yale uliyoyajibu wala mimi sikuyaandika, umejitungia maneno sijui umeyatoa wapi! Jibu kulingana na kilichoandikwa, ndio maana nikasema rudi shule, uelewa wako ni...
Wala mi sijaandika popote kwamba hiyo bustani inanisaidia kitu, hiyo ni historia kama ambavyo masomo ya historia yanavyofundishwa mashuleni, ni katika kujua tulikotoka tu, na sio kwamba inaniletea mlo, kwanza hakuna nilipoandika maneno hayo, sijui umeyatoa wapi tu, nimeandika A unajibu Z! Mi mlo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.