Kwahii inchi swala la katiba ni kizungumkuti...sana sizan kama litakuja kufanyia kazi...maana 75% is for Ruling Party only...,,,Ila serikali wanatakiwa iliweke kama somo mashuleni wanafunzi wajifunze ili unapokuja kukosoa uwe na evidence za kutosha...tatizo watu tunaongea sana bila fact...
Miongoni mwa viongozi mazuzu...kwenye Simba Sc ni huyu mwamba....huyu si alisemaga kwamba malengo yetu ilikuwa ni kumfunga mtani....na tumefanikisha....kwl huyu ni zuzu.....
Hiyo kampeni hakufanyie nan wakati huna rotation ya wachezaj kila mechi ni hao hao....HAWACHOKI.....???
Kutokuwa na akili Ndyo tatizo lako nahc kazi ya kihuni mafanikio kibao ww komaa kusema kazi ya kihuni wenzako wanatembelea matako we kila siku unamaliza soli............. Funguka akili ww
Wadada wa bongo wapuuzi wapo bize na skendo na wala siyo kujistiri...... Harafu ni wabaya tu... Pongezi kwa aunt Ezekiel aliyekubali kuishi na dancer pole yake wolper aliyekataa kuishi na ile kunguru ya kimakonde sasa hz yupo bize kupost picha instagram na Yale meno yake yaliopandana.....
Usanii ni kazi kama kazi nyingine..... Mbona masanja ni Mchungaji lakini ni sharobaro..... Na pia amoa hilo amlijui harafu team [emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14] mnashida
You are wasting your time for Tanzania's politics.. Is poor...
Hakuna ata wapinzani wanatuzuga kwasababu Kama kambi yao kubwa ni kaskazini harafu still Nawao ni 0 kuna SIASA hapo ???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.