Acha longongo we ndugu, vuguvugu za siasa zinaanzia vyuoni ndugu yangu, kina ZITTO, MDEE, EMANUEL NCHIMBI, na wengine wengi, segele wameanza nalo toka wakiwa wanafunzi wa vyuo, leo ndiyo wanaosikika na kutawala kurasa za mbele za magazeti, kuwa makini.
Bint tuliza boli,muda wa wewe na baba yenu wa kutesa umeshakwisha hata kama utajikomba vipi haisaidii, Omba kazi TIB( Tanzania Investment Bank) yawezekana wakakupangia kazi kwenye kiwanda cha nyama cha baba yako pale Swanga ili umsitiri baba ako,maana kiwanda kipo chini ya TIB ili kidhibiti...
Loooo kaka hiyo siku baada ya kupata hiyo meseji kwa kweli hata mimi nilichanganyikiwa,ilibidi nipige simu kuhakiki kama kweli MWAKA ana hali ambayo sio ya kupona,maana kuna rafiki yangu anaitwa MWAKA, na kweli huwa ni dereva, hivyo nilifahamu kuwa lazima amepata ajari,mbaya zaidi sipo TZ nipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.