Ni kweli kwamba mijadala ya kidini haijengi bali inabomoa kwani inavyoonekana wengi hatuna elimu za dini na ninaamini huwezi ukajadili jambo usilokua na elimu nalo sanasana tutaishia kulumbana mwishowe kujengeana uhasama hatimaye tukawa hatujafikia lengo la kuelimishana maswala ya dini tuwaachie...
Wasomi wa jf naamini hii kazi si ngumu wala ngeni kwenu.mimi nimepata bwana mmoja toka denmark yeye ni international consultant baada ya kufanya naye kazi akawa amependa ideas zangu ndipo akanishauri nibuni mradi utakaonitoa na ambao pia utaisaidia jamii inayonizunguka na yeye ataniunganisha na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.