Mimi huko huko nilisikia mama mmoja akiulizwa na mzee 'uni uhakika na unichokinena? Nasemi hivii uniuhakika na unichokisimi? Hii ilikuwa ni baada ya kumpa mzee wa kingoni taarifa ambazo alikuwa haziamini.
Nami, hii imenikumbusha hotuba ya mgeni rasmi kutoka mkoa wa Mara. Alianza kwa kusema ''nashukuru kupata nafasi hii kwani mwaka jana muriniarika nikaharisha, lakini leo nimefurahi sana nimekunya mbere yenu na wote mneniona''
Ni kwamba; hawa viongozi wa 'kidumu chama' hawataki kufanya kazi na mtu anaye analyze mambo na kufanya interpretations za situation. Mfano Nape walitaka kumprun kwa sababu hio.
Wewee! Uchaguzi wa 2005 tulitumia mpya, mpya 3 na mwaka 2010 'zaidi', 'zaidi' 3 hizi za kwako za 'kubwa, kubwa' tutazitumia 2015 kama tutakosa maneno mengine.
Kama tatizo ni kuridhisha mpenzi wako, basi urefu au unene hausaidii. Kwani sehemu za mwanamke ambazo zikiguswa zinamletea mhemko hazipo ndani bali zipo nje. Kwahiyo hebu jaribu kutumia hiyo shaft yako ya sasa na ichezeshe hapo sehemu za nje, usikimbilie kuingiza ndani. Kisha nipe jibu kama...
Sio viatu tuu. Yaani hata kama ametoka kununua kitu flani jana, leo utaona anafanya window shopping ya kitu kile kile. Pengine sababu ni kwamba bei ya baadhi vitu vyao si kubwa.
Imekuwa ni kawaida wakati wa safari ndefu, dereva anasimamisha basi porini ili abiria wachimbe dawa.
Sasa siku moja nilikuwa nasafiri. Tulipofika kwenye kuchimba dawa, nikasikia katoto ka kiume kanamwambia mama mmoja:-
'Mama naomba unikojoze',! yule mama akamvua yule mtoto kaptula ili akojoe...
Kulikua na mashindano ya kumpata mtu mfupi kuliko wote duniani.
Jamaa m1 alikuwa mfupi kama chupa ya bia, alipokwenda kwenye ukumbi wa mashindano akakuta mlinzi getini ni mfupi amekalia kiberi cha njiti. Hebu fikiria washiriki waliopo ndani watakuwa wafupi kiasi gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.