Mzee Wa Loliondo
Inasemekana Mzee kaoteshwa dawa ya kutibu magonjwa yote . Wapo watu wanaoamini kuwa ni kweli inaponya na wapo wale wanao tarajia iponye magonjwa yanayowasibu vile vile wapo wengine matarajio yao ni kupona magonjwa wanayofikiria.
Kupatikana kwa dawa hii tunaweza kuangalia...
Mzee Wa Loliondo
Inasemekana Mzee kaoteshwa dawa ya kutibu magonjwa yote . Wapo watu wanaoamini kuwa ni kweli inaponya na wapo wale wanao tarajia iponye magonjwa yanayowasibu vile vile wapo wengine matarajio yao ni kupona magonjwa wanayofikiria.
Kupatikana kwa dawa hii tunaweza kuangalia...
Wife is like a TV,
Girlfriend is like a MOBILE.
At home u watch TV,
But when u go out u take ur MOBILE.
Sometimes u enjoy TV,
But most of the time u play with ur MOBILE.
TV is free for life,
But for the MOBILE, if you don't pay, the services will be terminated.
TV is big, bulky and most of...
After 15 years,
Jamaa katika sherehe ya Christmas alimwita mkewa HONEY,
naomba unipakulie chakula, Jamaa alikosa kabisa huduma hiyo.
Mke alikuja juu!!!! .........leo nimekua Honey wako, kwani ni kitugani nimebadilika?
(kawaida humwita mama............).
Happy New Year Wish... 2011
Mtu kuwa kiongozi yoyote Makini ni lazima huhandaliwa katika itikadi na imani anayo lelewa.
Tangu unapata fahamu (utambuzi) unaelekezwa kuwa na Mtazamo, Msimamo, Mwonekano, Mwelekeo, Kwa manufaa ya waliokuandaa.
Na nikweli sana haiwezekani ubadili (utoke, uhame ) kwa waliokuandaa Na usiwe...
Kama ukipata nafasi pitia taarifa ya Gavana wa Bank Kuu siku alipokuwa
anatangaza kuwepo kwa Noti Mpya, alitoa sababu ni kwa nini Noti inabadilishwa.
Lakini pia kubadilika kwa Rangi inaweza kuhamasisha watu kutamani kuzipata, na ili
uzipate ni lazima ufanye kazi halali .
Kazi halali + Noti...
Watu katika Uongozi makini mara nyingi huwa wanaadaliwa toka mwanzo.
Kiongozi wa chama chochote sahihi huandaliwa toka awali kwa kufundishwa itikadi na maadili ya chama husika.
Kiongozi huyu aliyeandaliwa huwa ni vigumu sana kubadilika alivyo aminishwa.
Hata kama atabadili chama kutoka kilicho...
Wengi wa Maprofessor huwa na mipangilio maalumu ya maisha yao ya kila siku.
Mambo yao mengi huwa kwa appointments. Ikibidi afanye mapenzi bila appointment, inawezekana akaonekana hajui mapenzi.
Kidogo Mkuu, hapa bado hujaeleweka.
Tatizo hapa ni nini? Au shilingi inavyoweza kupanda na kushuka thamani?, ulikuwa na maana gani fedha ndani ya bank ( a/c ) na iliyopo nje ya Bank kithamani?.
Gavana wa Banki Kuu alipokuwa anatangaza kuanza kwa matumizi ya Noti mpya hapo January Mwakani 2011, alisisitiza hakuna mda maalumu wa mwisho kubadilisha matumizi ya hizi Noti zinazotumika sasa, hivyo watu wasikimbilie kwenda kuzibadilisha. Zitabaki ni fedha halali mpaka hapo zitakapo potea...
Kitendo cha kubadilisha notes ni sawa na kuongeza fedha katika mzunguko huu wa kasi ndogo uliopo sasa. Na hii inahashiria kutokuwa na usawa katika Pato la Taifa, thamani ya bidhaa pamoja na huduma zilizozalishwa ( GDP ) ukilinganisha na fedha zilizopo katika mzunguko.
Kwa mtazamo huu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.