Kwa nini yeye ndiye afanye kila jambo?
Viongozi wengine kwako wapi na wanafanya nini kuhakikisha kuwa inakuwepo tume huru ya uchaguzi?
Viongozi wote Wa upinzani wameshindwa kupeleka hili jambo mahakamani kazi ni kusema tuu kwenye vyombo vya habari... eti tunataka tume huru!! Kweli!! Kirahisi...
....amepoteza haki ya kufanya nini?
Kwa nini ni mazuzu kiasi hiki? Mnawachukuliaje hasa Watanzania, kwamba ni watu wasio na uelewa, who need decisions to be made for them??
Huwa tunakosea. TRA kazi yao ni kukusanya kodi tuu. Wanao weka viwango na idadi ya kodi ni serikali kwa kupitia wizara ya fedha.
Hizi kodi na viwango vyake then vinapitishwa ns bunge.
Bunge likishapitisha hapo ndipo TRA wanaanza kukusanya kwa kutumia kodi zilizopitishwa na bunge.
Unaonekana ni ngo ya kusaidia watu kujikwamua... Fanya hivi:
Nenda uliza malengo yao ni nini kwa wananchi. Je, wanataka kuwapatia raia funds za kudevelop one acre?
Kwa nini usichukuwe hiyo funding ujiendeleze badala y kutaka kuwa a mere employee??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.