Katika wasanii wanaoujua mziki basi kassim ni wa kwanza,hajawahi kukosea,ni msanii ambae huchoki kumsikiliza,in short ni icon ya muziki wa bongo!!í ½í²¯í ½í²¯
Hivi huyu nae vidio queen?? Kwa nyimbo zp??Yani huyu zake ni kubadili masela na kufakamia misosi km nguruwe pori hakana kazi zaidi ya kuselfie chooni!!!í ½í¸í ½í¸í ½í¸
Habari zenu waungwana.
Nasumbuliwa na tatizo la kuwa na kizunguzungu mara kwa mara, hasa ninapokuwa nimekaa kwa mda nikisimama huwa nahisi kizunguzungu.
Je hii inasababishwa na nini? na tiba yake ni ipi?
Habari zenu wakuu.Mimi niliaply vyuo 4. 1-Ardhi 2-MUCCOBS 3-UDSM 4-Mzumbe.Sasa najaribu kutafuta majna ya hivi vyuo vingine siyapati maana udsm sjachaguliwa. Naomba kwa aliye na taarifa zaid kuhusu hivi vyuo 3 vilivyobaki anisaidie maana niko dilema.Ntashukuru kwa msaada wenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.