Trust me time siyo issue tutadai milele na tutaipata, wanasiasa wako kwa ajili ya kusolve society problems kama c.c.m nachadema watashindwa tuta opt kwa wengine
Si kwamba huelewi unameza maaigizo ya maaskofu bila kufikiri..
Wanataka hukumu za mahakama ya kadhi yatambuliwe kisheria (siyo kuendeshwa na serikali)
Meaning: Kadhi akitoa hukumu yake iwe recognize na serikali.
Walioko kwenye payroll ya Lowassa wengi akiwemo mtoa mada japo yupo Ukawa??? ni vigumu kuamini mwanasiasa wa upinzani in out anashupalia mambo ya chama tawala.
Ni kweli kabisa
a. Nyumba za waswahili zilizo mikoheni, mbezi Beach na Kwingineko haziendani na viwanda walivyonavyo waswahili..assuming kiwanda kidogo cha M.700. (hesabu nyumba za zaidi ya hiyo pesa?
b. Kuna tatizo la over emphasize on building houses kuliko kufanya investments
Bandari ya Bagamoyo badala ya Tanga ni Bad decision mtazamo wangu
Kupanua chuo cha IFM kwenda Msata ni Good Decision
Kwa hiyo naomba usilinganishe hayo
Mimi siyo Daktari ni mfanyabiashara, Ila ninaona kuna opportunity hapa ninapoishi kuanzisha biashara ya Dispensary/Hospitali ya watoto.
Naomba kufahamu masharti na mahitai yake? Inawezekana kwa mtu asiye Daktari kufungua hospitali na kupata faida? unawezaje kuwadhibiti Madkatari?
Nitamkumbuka kwa kuwapendelea wakristo serikalini kwa kuogopa asichukiwe, kufunga masheikh kwa shinikizo la maaskofu, kukataa mahakama ya kadhi ili asiwauhi wakristo period.
Chadema wameufanya ubunge kuwa kitu rahisi sana; mimi siamini kama Lema, Sugu, Nassari etc wanastahili taasisi ya ubunge..
Ndio maana siku hizi kila taahira anataka kuwa mbunge,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.