Hizo perfume zote hapo zimeanzia USD 250- 500 kwa brand original..
But kwa zakupima ..dsm..
Kwa yule muirani kariakoo.. au Esmat zinapatikana kwa bei ya kupima kwa ujazo unaotaka..
My best male Perfume 2023
1. Blue Channel
2. Percival
3. Baccarat Rouge 540
4. Hugo Energizer
5. One million
6. Lacoste essential
7. Invictus
8.Hugo boss
9. Black orchid
10. Pi Givenchy
Asante!
Watu wapate first class honey!!
Kwa majina mengine huitwa asali ya mezani (table honey!)
Ni asali ambayo haina mchanganyiko wowote na vichafuzi..
Coz inapovunwa ni more than 40km kutoka makazi ya watu hivyo nyuki hawezi kusafiri umbali huo kufata vywakutengenezea asali..
Kwa faida ya...
Kutambua Asali mbichi unaweza kutumia mbinu zijuatazo rahisi..
1. Chukua njiti ya kiberiti loweka kwenye asali kisha washa.. ikiwaka ujue asali hiyo ni halisi haijachanganywa na maji wala chochote.
2. Imimine kwenye glass ya maji asali halisi itashuka yote chini ya glass haitachanganyika na...
Kwa mahitaji yako ya asali mbichi …
Asali hii kutoka katika msitu wa Kigosi … ni asali salama sana kutokana na kuvunwa mbali na makazi ya watu kwa zaidi ya Km 50…
(Organic Honey)…
Bei zake ni
~ 300gm = 4,000/=
~500gram = 6,000/=
~ 1000gram= 10,000/=
~ 1 litre = 12,000/=
~ 5 liters = 50,000/=
~...
Top excutive perfume za kiume ambazo hutajutia hela yako:
1. Percival
2. Bacarate 540
3. Hugo Enegizer
4. Eros Men
5. Lacoste Insential
6. Aqua de gio Profomo
Mkuu pole sanaa!!
Kuna ka app flani kanaitwa ‘
‘Android Phone control’
Haka ni hatari sadly kana kama mb 30..
Kanafanya kazi back ground kakiwa installed kwenye simu yako umekwisha coz ..
Kanakua kanatuma copy ya mawasiliano yote kutoka kwenye simu yako ilimradi uwashe data umekwisha na kakiwa...
Inawezekanaje Chalinze ikaizidi Geita…
Soko la kodi inayokusanywa kwenye masoko ya dhahabu huu mkoa imejumuishwa..?
Je uwekezaji mkubwa wa migodi mikubwa ya GGM na wenzake imewekwa pia maana hizo 9b naona kama ni ndogo sana…
Kuna masoko na mji kama Katoro Geita na masumbwe nayo wamehesabu...
Forester Xt ..
Mi niseme hapo kwenye aina nipasemee kidogo coz zipo nyingi kwa gari moja … but iliyo bora kwangu ni moja tu ambayo ni full option …
Kwa maaana…
1. Leather sit
2. Moon Roof
3. Turbo
4. I drive .. kwa maana ina button ya kuweka option za Sports, Sports#, na I-drive ..
5. Push...
Mtungooo!!!
Nakumbuka mwaka flani nikiwa bado kijana mdogo nakula kwa shikamoo na kupata binti miaka yetu ilikua mtihani kidogo...
kuna jamaa yangu walikua ni fundi sana wa kuwaset wadada then akiwa mgumu anatamanishwa hela kwamba aseme anataka bei gani..
kuna Mdada mmoja akaingia kingi kwa...
Wakuu we chepuka tu!!
But fanya ufanyavyo usije ukachepuka na mchepuko wenye akili nyingi...
Ipo siku utakuja kujuta na kujiona mjinga sana..
Nilikua najionaga PRO, MAMBA na majina yote ila nikaja nikakutana na nyangumi... aliniyumbisha kifamilia mpaka nikajuta...
Inshort..
Nilipata Pisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.