Naona mnalalamika sana.......nimepunguza bei............42'' nauza 1.5M na 32'' nauza 1.1M bei kama za mlimani city lkn quality ya UK.....sio za mchina hizi,made in EU.
hizi ni mpya.....zina warranty ya manufacturer ambayo ni ya mwaka mmoja...ilikuwa na optional extended warranty(up to 5yrs) ambayo nilikataa coz nilikuwa nazileta tz kwa order maalum ila hizi mbili zimebaki waliotoa oda wameshindwa kununua.
asante kaka/dada......lakini sio kila SAMSUNG 32'' inauzwa laki 8......kuna version tofautitofauti.....nimeona hadi za laki 3 lakini hii ninayouza ni tsh 1.5M
Nauza 42'' LG LCD TV brand new just imported from UK price Tsh 2M
Pia kuna 32'' SAMSUNG LCD brand new just imported from UK price Tsh 1.5M
Please contact me through pm if ur interested,prices are negotiable,thank you.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.