Sio kila position unayolala mwili unakuwa comfotable nina maana kuwa kila mtu kuna style akilala mwili hukubali na haoti njozi mbaya. Ni brain yako hutengeneza scenario ili uondokane na hiyo position uliyolala ili uwe comfotable. Ni sawasawa na mkojo ukiubana sana lazima brain itengeneze...
Hivi ni kwa nini wahamiaji haramu Mfano hawa wanaokamatwa wakiwa wanakwenda au wanapita tuu nchini kwetu kwenda kujitafutia maisha mahali pengine na wala sio nchini mwetu kwa nini tusiwaache kwa sababu sisi haituhusu na wala haituathiri chochote kupita kwao hapa tuache jukumu hili huko...
Nimemuelewa mwandishi hasa ni paragraph ya mwisho ndio iliyobeba ujumbe , any way pengine hao watu ambao wengi tulitegemea kualikwa wakaalikwa mwisho bado siku 29
Tatizo hujitokeza pale mwanaume mzima unavisha pete huku ukisujudu as if she is going to be a head in the family those are the outcome bear with them nig*
Watanzania tungejikita kujadili nani awezae kutatua matatizo ya msingi tuliyonayo tangu miaka 60 ya uhuru
badala ya mambo ya kujaza watu wakati ufumbuzi hakuna
1. Tujadili kwa sasa hakuna ufumbuzi wa kudumu umeme nchini tegemeo ni maji kama chanzo kuna vyanzo vingine kama nyuklia havijadiliwi...
Wanasema Julias Nyerere hakuna transmission line na umeme upo tuu na hakuna pesa za kuweka line hivi hii inaingia akilini? na Mtera nasikia kinu kimoja kimetumbukia majini sijui habari hizi kwetu sisi zinatusaidia nini.
UTARATIBU WA MAZISHI YA KIKATOLIKI
• Taratibu za Mazishi ya Kikristo Kisheria
Sheria ya Kanisa Katoliki ( 1177 – 1185) inasema kuwa ni haki ya kila muumini mkatoliki kufanyiwa Ibada ya mazishi ya Kikristo isipokuwa kama amepoteza haki hiyo kwa ukaidi wake mwenyewe.
Haki hiyo inaambatana...
Hivi wewe umeshawahi kujiuliza Mfano Yesu angalikuwepo zama hizi hao mashoga angewakimbia? au kuwalaani au kutoa hukumu wafe? vipi yule mwanamke mzinzi alisema nini kwake nakuambia tunavyohukumu sisi ni tofauti anavyohukumu Mungu bado nasema na ninasisitiza kusema hiyo siku ya hukumu watu...
Tatizo kubwa la watu ni kutoelewa na kupenda kupindisha ukweli kuwa uongo na kutoushughulisha ubongo kutaka kuelewa kipi ni kipi ndio maana hata Yesu hawakumuelewa kabisa na hatimae walimuuwa kwa nini alikaa na wanyang'anyi na wazinzi na hakuchagua kukaa na makuhani na viongozi wa dini hili...
Kuna kitu cha kujifunza kabla ya kufanya maamuzi ya haraka kaa tulia tafakari then maamuzi yako yatakuwa sahihi.anyway kama ishatokea ni funzo huwezi tena kuzoa maji yaliyomwagika wakae hao waliotekwa pande zote waachiane maisha yaendelee sidhani kama jamaa walioanzisha watarudia itachukua muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.