Precision Air ni Kampuni ya Watu binafsi na Ina utaratibu wa kupata mitaji kupitia soka la hisa.Kwa nini isitoe right issue ili kupata mtaji zaidi? Serikali ina kazi ya kusimamia ushindani wa biashara na kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji.Labda kama ni pesa zitokanazo na mdororo wa uchumi...
Usibadilishe madereva mara kwa mara kwani wengine ni vichaa huharibu gari kwa mwendo mbaya na kupiga resi zisiso na mpango.Endesha gari yako mwenyewe ukiwa dereva au mpe dereva mmoja tu.Pia usibadilishe mafundi mara kwa mara kwani wengine wanatafuta pesa tu kwa kutotengeneza gari lako na...
Inawezekana anatangaza huduma za DHL na nyingine binafsi kwa sababu sijawahi kupotelewa na mizigo miaka kumi sasa naitumia posta.ELEZA VIZURI ULIMWONA NANI POSTA AKASHINDWA KUKUSAIDIA ILI USAIDIWE.FUATA TARATIBU VIZURI KWA WAHUSIKA NA VIELELEZO VYAKO HAKIKA POSTA WATAKUSAIDIA.ACHA KUCHAFUA JINA...
Shida imeitengeneza mwenyewe.Mwanzo inawezekana ulikua bize ukasaidiwa na housegirl.Mkoleze mumeo ataacha kwenda nje na mweke bize ili asahau wa nje.Pia chukua huyo mtoto wa nje muishi nae itaondoa mawasiliano yao.Nakulaumu kwa sababu mwenzako alichimba kaburi na wewe ukaliongeza ukumbwa ili...
Vyuo vyote Tanzania vinasimamiwa na TCU.Hivyo ubora na mitaala ya kufundishia unathibitiwa na TCU.Hivyo wahitimu wanapimwa na nini wanaleta kwenye jamii katika kubuni na kuleta maendeleo.Tusilewe sifa za chuo kikuu fulani lakini tufurahie mabadiliko makubwa ya ongezeko la vyuo hivyo ambalo...
kipimo hujasema.tikiti maji kubwa kiasi gani kwani hata dogo kama gololi na limau mbili.Au ratio in ipi vile.Pia wanywe kiasi gani kwa siku.Kikombe kimoja au kijiko kikubwa kimoja cha kulia chakula.Kama hujasema kipimo wengine watatumia bila mafanikio na wengine watakufa kwa kunywa kiasi kikubwa...
Kwa maelezo yako jamaa alitaka kuuza gari na wewe ukanunua.Sioni sababu za kurudisha kwani mtu yeyote angeweza kuinunua na isingewezekana kurudisha.Kwa sababu ya busara na urafiki unaweza kumpa gari yake na kuacha kununua gari za marafiki zako kwani huruma itakufanya ugombane nao.
Hahui sheria za ajira.Ukikosa kazini siku tano mfululizo umejifukuzisha mwenyewe.Tuwe makini na kazi kwani sasa hivi soko la ajira halifai.Wapo vijana wengi wenye sifa lakini kazi hakuna.
Wanajamii tutake tusitake wageni wamekuja kuchuma tu.sisi ndio tunaweza kuleta mafanikio nchini.ubinafsishaji ulioshinikizwa na imf na benki ya dunia ulikuwa na madhumuni ya kuchota rasimali zetu na kupata masoko ya bidhaa zao huko walipotoka.ukiangalia ttcl imeweza kupona misukosuko yote hii...
Viatu vya plastic sehemu zenye baridi huvaliwa kukinga miguu kupasuka.sijui hapa Dar wameiga kwa watu gani kwani mwanza huvaliwa kwenye viwanda vya samaki.Wanaovaa wana sababu zao labda tuwasikilize michango yao.Lakini wengine ni mkombo tu hawana sababu yeyote.Uchumi nahisi siyo sababu kwani...
Hongera kwanza kwa kuwa miongoni mwa wachache walioitwa kwenye usaili.Wengi wamekushauri vizuri ila uvae kama mhasibu usiache kuvaa tai iendane na shati na suruali yako.Ukiulizwa swali jibu kwa ufupi na kama huelewi chochote omba liulizwe tena ili upate muda wa kutafakari majibu.Usiwe mwoga...
Wewe inaonyesha jinsi sikukuuu hii ya leo ulivyo mjinga.Ladba ukienda kwa babu leo jangwani akili itakurudia sawasawa la sivyo mwaka mzima utakuwa mjinga.
Kazi waliyokupa fanya mpaka iishe kwa sababu viingilio vyao ni gharama ya kukuweka wewe pale uwaburudishe.Waliolala wamekolea na burudani.Wenye mambo mengine inawezekana umewakuna sana wanasemezana wenyewe.Wewe chapa kazi mwanangu kwa kupata bahati ya hiyo ajira.Usichezee ajira chezea pesa baada...
Tatizo la ajira ni la ulimwengu Mzima.Wakati wa mdororo wa uchumi Kampuni ya ndege ya Uingereza ilipunguza wafanyakazi zaidi ya 500 na kufunga safari sisizo na faida.Hata Amerika imetokea na Obama anahangaika na kufufua uchumi na makapuni ya magari yalishapewa fedha za kuyasaidia yasife(stimulus...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.