mjinga tu huyo someni , Mungu anambariki kila mtu kwa mda wake kwanza tunasoma ili kupambana na mazingira na si vinginevyo ukielimika unaweza kujiajiri mwenyewe msisikilize mawazo mgando
wenye vitambi kunyweni mchaimchai na asali kutwa mara 2 asubuhi na jioni kila siku vitambi vitapotea na mtasimamisha vizuri sana u dont need complicated things just mchai mchai n honey (raw)
Ha ha ha kwa wale wanaosumbuka na Tatizo hilo lkn walikua wana function tumieni karafuu usiunge sukari.wala asali unaweka kidogoooo sana robo ya robo ya robo ya teaspoon maji kikombe kikubwa chemsha kunywa asubuhi na jioni wiki moja u will be suprised!!!!! erection n delay during inter.....se.
Yaap saga ngano fresh usiikoboe hata kidogo amka asubuhi songa ugali huo na mchana pia acha kula chapati na misosi yote ya kukobolewa km sembe haina tija zinc inasaidia pia kupata very strong ere**n
Sio kweli ila usinywe chai yenye caffein na kuunga sukari,kuna "mchaichai" baba n kiboko ukinywa kwa kuunga asali Asubuhi n jioni one week U will experience strongest erection ever .......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.