Hii video ni ya muda mrefu saaanaa.. na sidhan kama ni Tanzani ama labda mpakan mwa nchi jiran.. ila video ya zaman ishazunguka sana mitandaoni.. mkuu sijui ulikua wapi??
Kuna namna upo sahihi pia.. naweza kuonekana hivyo japo sio lengo langu hilo, zipo sababu kadhaa za kuweka hizo requirements kulingana na WAZO KUU lililopo mezani linataka vijana zaidi ambao naamini wataendana na hilo wazo na linawagusa zaidi wao.
Lengo la kuweka ukomo wa umri ni kulingana na lengo kuu la tunachokiendea kukifanya.. zaidi nahitaji kijana mwenye nguvu na atakaenyumbulika na mabadiliko ya Dunia hasa kwenye Teknolojia na Burudani. imani yangu inantuma kuwa umri huo ndio sahihi kuwapata vijana wa namna hiyo.
Kama Title inavyosema hapo juu, Natafuta Designer Mzuri mwenye kujiamini kwenye Area zifuatazo:
1. Android & IO's Apps Designing
2. Website na Graphics Designing
3. DataBase
Sio lazima awe na uzoefu mkuuubwa kwa maana labda awe amefanya kazi na companies kadhaa au zinazotambulika hapana...
Kwanza nimewasikia wengi humu wanakosea sanaaa, Kiswahili fasaha NI USIKU WA MAANANI na SI USIKU WA MANANE yaani usiku wa M/Mungu kwa sababu ya utulivu wa usiku huo, kila kitu kimetulia, viumbe wengi wamelala nusu ya kufa..
swali jepesi kwa nini kusiwe na USIKU WA MASABA au USIKU WA MATISA? n.k...
Wakuu kwa mtazamo wangu na kwa Elimu yangu ya kawaida ninaona dhahiri kabisa SERIKALI ilikosea kwenda na 'beat' ya wimbo wa TEKINOLOJIA haikwepeki katika dunia ya sasa inayokua kwa kasi ya ajabu ya UTANDAWAZI.
Nina yasema haya nikiwa nimelenga kwenye hali ya matamko na mikakati inayoibuka kila...
Binafsi niliregister na Paypal account siku ya pili tu nikafanya online purchase ebay kwa majaribio, juzi nimetoka kupokea mzigo wangu posta toka China, sikufanya verification na wala sijapata hizo 4 digits sasa sijajua next purchase itashindikana ama la?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.