Habari zenu wanajamii forums..
Naomba kufahamishwa kama simu ya HUAWEI inayotumia system ya ANDROID 2.2 inaweza kutumika kwa line za Bongo? Au kuwa flashed na kuweza kutumika?
Thanks in advance
Naomba kujibiwa swala hili kwa mwenye ufahamu tafadhali. Huyo babu mnasema ni mchungaji/askofu and the like. Na kuwa imani ndio inaponya. Je watu wa dini zingine eg waislamu nao wanaenda? Je wanaoenda nao wanapona wakibaki na imani ya dini zao? Msaada tafadhali
Mie huwa ndio sijisumbui na hawa watu, tena wewe huna mtoto mdogo unaona tabu gani? Rudisha kwao utafute mwingine. Hawatabiriki hawa watu na hawana huruma wala adabu
Huo ni ulimbukeni na kutojiamini,mke bora halafu uende kwa mchungaji au pasta akuombee,wengi wao ndiyo wanaonja kidogo then wanakupa wewe ni uongo mtupu,jiaamulie kusoma kitabu cha Mungu cha imani yako muombe Mungu na kisha funga na pia angalia yupi akufaaye the utaona tu kuwa fulani unampenda...
Kweli JF ni kiboko,me sikuwahi kumjuwa huyu jamaa ila swala la ulokole na kupenda mabinti nasikia ndiyo zake,KUNA MTU ANAFAHAMU HISTORIA YA MKEWE?NA WAMEKUTANA LINI? NA ILIKUWAJE AKAAMUA KUMUOA YEYE BADALA YA YA WALE WA DAR WA3 NA YULE WA MORO? jamaa uliyesoma naye Kibaha na Ilboru nakukubali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.