Mitambo ya Kampuni ya kufua umeme ya Dowans, tayari imeshauzwa nje (Cyprus) kinachosubiriwa sasa ni kumalizika kwa taratibu za kimahakama dhidi ya Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (Tanesco) iliyoko Mahakama Kuu ya Tanzania.
Jana nilianzisha thread hii Mods wakaipeleka kwenye...
Mitambo ya Kampuni ya kufua umeme ya Dowans, tayari imeshauzwa nje (Cyprus) kinachosubiriwa sasa ni kumalizika kwa taratibu za kimahakama dhidi ya Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (Tanesco) iliyoko Mahakama Kuu ya Tanzania.
Cables released by whistle-blowing website WikiLeaks show that the drug trade is not only facilitated by security personnel, but also high ranking military personnel, influential businessmen and politicians, including close relatives of presidents.
The countries where drug barons reign big are...
Wahisani wanaochangia bajeti kuu ya Tanzania (GBS) wameikataa bajeti waliyopelekewa na serikali ya Tanzania kuwa ni tofauti na iliyopitishwa na bunge Julai mwaka huu.
Jamani hii si aibu na kashfa kwa serikali ya Tanzania.
Nani ameibua kashfa hii? Stay tuned.
UPDATE:
Tuesday, 07 December...
Hodi wanaJF naomba kujiunga na kutoa mchango wangu wa kwanza kama ifuatavyo;
Safari karibu inawadia majeshi yameshatangulia mbele jemadari yuko nyuma yuaja lakini swali lililopo je mwenyekiti wa sasa wa NCCR- Mageuzi Ndugu James Mbatia atakubali kumpisha kiti Jemedari mpya kama alivyofanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.