Hivi naomba niulizie kwa Jussa Katibu mkuu wa CUF kikatiba anakaa miaka mingapi madarakani? Pili hivi katiba yao inasemaje kuhusu mtu kugombea Ukatibu mkuu?
WanaJF nasikitishwa na kushangazwa sana na TIGO kwa sasa jinsi gharama za kuongea hata tigo kwenda tigo zilivyopanda!! Kwanini imekua hivi? Yaan dakika 4 Tshs.1000!!? Wadau nisaidieni?
Katika hali ya kushangaza wanaJF wenzangu eti kwny ule uchaguzi uliofanyika Igunga na Magamba kushinda kwa kushindwa,, wakaanza kupita mitaani huku Moshi kusheherekea na kutoa maneno ya kebehi kwa wapinzani wao i mean CDM,,sasa ushindi wao huko kwa wananchi ambao bado hawajafunguliwa kiakili ndo...
Aiseee hawa CCM kweli wamechanganyikiwa kabisa!!! Hata huku Moshi eti wanaandamana kusheherekea ushind i wa Igunga na kufunga barabara!!! Ama kweli CCM tunaenda kuizika soon.
Mimi nimefarijika sana na picha hizi kwasababu naona vijana sasa wameamua!! kule kwa Chama Cha Magamba naona ni vikongwe watupu kama walivyo wapiga kampeni wao.CDM oyee!!
WanaJf wenzangu ni wazi kwamba kilichotokea leo uwanja wa taifa ni aibu kubwa na fedheha kwa nchi yetu!! Kitendo cha Tanesco kukata umeme kwenye tukio kubwa kama la leo tena linaloshuhudiwa na ulimwengu mzima kupitia DSTV tena fainali ya kombe la kagame inadhihirisha wazi kua Tanesco...
WanaJF leo saa 2 usiku kwenye taarifa ya habari TBC1 nimeshangazwa na Mbunge mmoja viti maalum alipokua shuhuda wa tukio la Mbunge wa viti maalum aliyeugua ghafla bungeni mapema leo asbh!!! Shuhuda huyo alipoulizwa akadai walikua wamekaa karibu mule bungeni wakawa wanaongea mambo yao ya nyumbani...
Mukama mimi naona yeye ni mwana propaganda kuliko hata Makamba! Kama huyu ndio mtendaji mkuu wa Chama Cha Magamba (CCM) basi chama hakina Katibu kabisaaaa!!! Kwa kauli zile za mukama nafikiri CCM tatizo bado liko pale pale. "Aliponiacha hoi ni pale aliposema kjuwa CCM ni chama cha matajiri...
WanaJF wenzangu mimi nauliza je JK atatoa hotuba leo? Au atapotezea tena! Nimewasikiliza watangazaji wa TVZ na TBC1 wakidai ni bora leo atoa hotuba ili kukidhi matakwa wa watanzania wengi. La sivyo..............
Unajua huyu dhambi ya udini bado inamtafuna kwasababu udini umeanzia CCM sasa wanajifanya kujisafisha....!! Halaf mm nashindwa kuelewa huu udini raisi anauzungumzia kila apatapo nafasi ya kuongea uko wapi n na nani anaueneza? Naomba JK atafute chorus nyingine hii tumeichokaa!!!
Na Asha Bani
WANAHARAKATI wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) wamesema Spika wa Bunge, Anne Makinda, ameshindwa kusimamia vizuri kanuni na maadili ya Bunge katika kujadili masuala yenye maslahi kwa wananchi.
Kwa mujibu wa wanaharakati hao, udhaifu huo wa Spika Makinda nusura...
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais (Muungano) Samia Suluhu Hassan, wamenusurika kipigo baada ya kutokea vurugu kwenye kikao cha kujadili muswada wa mabadiliko ya Katiba mpya visiwani Zanzibar.
Sitta, alikuwa akiwasilisha...
Jamani kilichomtoa Tido pale ni kuruhusu mijadala ya "Harakati majimboni" kipindi cha kampeni ambapo CCM walikua hawashiriki!! Baada ya Tido kuondoka TBC basi imekua ya CCM hamna la maana lolote wanafanya zaidi ya kurudia tu kama kuna mambo ya CCM ya zamani ndio maana hata nilivyoona leo jinsi...
Hii nchi kwa kuunda tume inaongoza!! Halaf tume zenyewe majibu hazitoi, ile tume iliyoundwa ni janja ya nyani kule wizarani wamekaa wameona njia nzuri ya wao kwenda kupata kikombe kwa babu ni kujifanya wanaenda kuchunguza...wameona waziri wa afya amekunywa wanataka kukataza! Sisi wananchi...
Waziri wa Afrika mashariki Mh. Samweli Sitta amesema CCM wanatakiwa kujiangalia upya kuhusu mwenendo wa viongozi walio wengi wa chama hicho ambao wanakipeleka chama pabaya na chama kupoteza umaarufu mbele za wananchi!! Sitta amedai chama kiko kwny hali mbaya sasa kutokana na baadhi ya viongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.