kwa net sijajuwa kama wana link ila yuko ITV, he is very local yani. afadhali kidogo mwenzake aliye ripotia geita na mwanza kipindi hiki cha kuhesabu kura baada ya buhohela
Nakuunga mkono mkuu. japo sija check coment za wengine na nafahan anaripitia mkoa wa Mara, mimi nasema anakera sana hasa kipindi kabla ya uchaguzi, anavuta maneno wakati watu tuna tune 40mins kuskiza habari, instead anapaswa ku rise hoja ama maswali kwa kifupi yenye majibu ya kina ama detailed...
ikiwa ni kweli usemayo, fanya hivi.. uyo mkeo jifanye unamshauri kwamba asirudie tena maana unampenda, pia mwambie awasiliane na jamaa kwamba akusaidie ww na yeye amuahidi jamaa kuwa alipe fadhila na ataachana na wewe na kuwa naye maishani, yaani shawishi mkeo kivovote am control jamaa hata wiki...
mkuu uposahihi kabisa. mimi nimesha fanya oral interview 2. ya 1 tulikuwa na mtu ambaye hakufanya written lakini aliitwa oral December 2014, ya 2 ilikuwa tantrade march 26, 2015 nasikia tuu watu walisha itwa kazini lakini hawakutoa majina kwenye website mpaka leo.
kipindi cha George na Kennedy kilikuwa safi sana na ngoma Kali mwanzo mwisho, nashangaa wamewaweka sam misago na yule dada, hata hakivutii. wamuongezee time basil ambakile na yule marry (mkunga). otherwise vipindi vilivyo salia ni pathetic...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.