Polisi wamelazimika kufyatua mabomu ya machozi huko Mbagala kuwatawanya waumini wa dini ya Kiislamu waliokerwa na kitendo cha mwanafunzi mmoja anayetuhumiwa kumnyang\'anya mwenzake Kuraan na kuikojolea.
We acha tu, Ukishaonja Demokrasia Udikiteta hauna nafasi tena. Ni ndoto za mwendawazimu kufikiri kuwa Mtu yeyote anaweza kuitawala Tz kidikiteta. Atachofanikiwa ni kuchafua nchi tu lakini kukaa hatakaa.
Namaanisha udikiteta katika maamuzi yake, na siyo kuchekacheka ka mtu fulani.
[akina Mtei, watatumia udikiteta na kumtupa nje kabla hajaingia hatua ya vidole. Je, huu sio udikiteta uliokithiri? Na watu kama hawa wakichukua nchi mnategemea nini?
Huna Jipya Ndugu yangu, jitambue nchi yetu Tanzania ili tupate maendeleo tunaitaji Rais Dikiteta, hivyo kajipange upya uje tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.