Kama wanaungana na zitto basi watuambie wanachama tukampokee kwa kishindo .maana nchi hii imebaki na mashujaa wawili tu, Zitto na Pompeo. Pompea amekuwa kama mtanzania mwenzetu
Chadema kama chama kikuu cha upinzani hakijatoa tamko kuhusu issue mbili za WB kukata kuwakopesha serikali Dora 500M na issue ya pili ni hii iliyotokea juzi ya Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam kutajwa na FBI ameshiriki kutika vitendo vya kunyima watu haki ya kuishi
Marekani wamesema wanao...
Unafikiri nani ananufaika zaidi na mahusiano ya USA na Tanzania? Marekani wanamashirika yao makubwa ya Afya yanasaidia Tanzania ,UsAida na mengine mengi. Hawa wenzetu watajivunia kwenda kutibiwa India lakini hata India natamani watuwekee ban ili wote tufie hapa hapa Bongo
Yaani wewe ni mjinga na kama ameenda shule basi elimu haijakusaidia. Ukiona wapi tajiri anamwogopa maskini. Mabeberu wamwogope Magu hizo story za abunuasi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.