Kwa hiyo mpaka sasa 2023 ipi ni bank bora kwa kufungua akaunti ya dola na kupewa hizo Mastercards? Kati ya Equity na Crdb? Kuna bank inaitwa Stanbic bank miaka ya nyuma ilikuwa ukiweka dola unapotoa hela lazima dola 100 ibakie na hiyo hautakuja kuitoa kamwe. Je hao Equity hawana ukora huo wa...
Napenda uwasilishaji wako sema sasa ungejitahidi kufafanua kuliko kuuliza vimaswali na kuviacha hewani. Jitahidi uwe kama imhotep haulizi na kuacha mada hewani bali anafafanua. Mambo kama unajua kilitokea kitu gani 1959 hayalisaidii jukwaa hili
Waliosababisha mauwaji ya kimbali kutokea na kundi RPF chini ya Kagame waliotungua ndege iliyokuwa imewabeba Marais wawili yaani Habyalimana na yule wa BURUNDI hapo Kanombe ndio sasa wafuasi wa Habyalimana nao wakalipuka kujibu mashambulizi. Kama Rais Habyalimana asingeuwawa kusingetokea yale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.