Sio gari mheshimiwa, flow sio mbaya, mpaka naisitisha nilikua kwenye 25-35Kg, na ha hapo ikiwa na wiki6
Ushindani not much, kuna butchery nyingine opposite nayo, ambayo ina mda mrefu kiasi.
Kwa anehitaji Kufanya Biashara ya Bucha, naachia bucha maeneo ya kimara mwisho-DAR
-Frem imelipiwa kodi mpaka mwezi 05/2016---- kodi ya miezi 10. Fremu ni kubwaa.
-Mashine ya kukata nyama CAPITAL mpyaa.
-Mizani 2 ya mezani, na mmoja wa Kuning'iniza.
-Freezer ya futi4.
-Iko katika standard ya...
Habari wanajamvi!
Niameamua kujaribu ufugaji wa nguruwe, ila ningependa kuomba ushauri kuhusu mabanda ambayo nimeplan kujenga, Natarajia Kufugia kibamba - Dar es salaam .Kiwanja kina Ukubwa wa 47X29m. Maji yapo ya kutosha.
Na nimekigawa "nusu kwa nusu" kwa marefu katika site plan Kama...
Una uhakika wa hilo unalolisema, je hiyo ilikua ni miaka ghani walikua hawatahiliwi??, umewezaje ku prove kama wewe sio mjaluo??
Hivi lackairo ( LAMECK AIRO OKAMBO), si ni mbunge wa Rorya na Kwao ni UTEGI, na ni MJALUO??, by the way nafikiri origin ni shirati.
Sometimes na we Jaribu kutoa...
1. We umewazaje kujua kwamba kuna makundi kama hayo kama na we sio mfuasi?
2. Unawezaje kujua kua mtu alikua online for 24hrs, kama na we hukuwepo?
3. Wewe ni mzee?
Ushauri ni mzuri, ila kumbuka kutoa tongo tongo kwenye Jicho lako, kabla ya kumuambia mtu kanawe uso.
Huwezi kuelewa kwa sababu haikuwahi kukutokea, kuna watu zimewakuza hizo hizo, na saa hizi ni "watu fulani".
They never had option
You don't need rocket science to understand that, i guess.
You should be thankful, you had a life.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.