Habarini wana jf, mimi nina laptop ya acer 1410 naipenda sana ila kuna cku ilianguka na ikaua motherboard, naobeni mwenye nayo aniuzie ntashukuru sana.
mimi nasoma apo, kama ni mvivu wa kusoma ajiandae na sapu za kutosha, pia ajiandae kuishi geto na msela akifka mwaka wa 2 mana hostl ni za 1st yr tu. Ni pm mimi nim tek car akija mzeiya ucjali nina imani za kipadre atakua sister wangu.
mimi c kwamba najua ndo mana nimekuja jukwaani ili mnisaidie, tcha HE IS RIGHT, mana amenifanya nimesoma articles nyingi sana, nisaidieni tu wanajamii.
Habarini zenu wana jamii, mimi ni mwnafunzi wa chuo flani hapa tz, sasahivi naelekea kufanya field, natakiwa kuandaa proposal kabla cjaanza kuandika resarch riport yangu, tatizo limekuja kila topic ninayo mtumia mwalimu ane nisimamia aniambia the title is too wide or abstract...
ingia control panel, then network and internet nenda kwenye network connection, then right click iyo modem then sharing alafu chek (allow other network to conect through this computers internet connection) ok then dial tena.
Wana jf naombeni mnieleweshe mana nimekua nikjiuliza maswali mengi sana kuhusu hii serekali yetu inavyo tudanganya, bungeni walisema watashusha mafuta ili hali ya maisha iwe na ahueni ifikapo tar 1/7/2011 cha ajabu ilipofika hiyo tarehe mafuta yaliongezeka bei kwa kiasi cha sh 100, je ni kwanini...
nyie mnataka kuibia watu magari yao 2, mana kama m2 akija na gari ya thamani ya m 3 na ataka m 6 mtampa? Nyie c mta taka mumpe milion alafu masharit arudishe ndgani ya wiki akichelewa mnamzika gari yake 2shafanya uo ujinga so nenda vijini ukaibe mashamba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.