Ndungu yangu nakushauri hivi mungu akijalia ikifika hiyo siku yenyewe maana bado siku kama 4 hivi ni parefu hapo kama ni waislam mwambie mkeo msali sali ya kumshukuru mungu since mnafikisha miaka kumi na tano na mfunge siku hiyo kama ni waskristo pia nendeni kasinisani kisha baaday ya hapo...
Pole sana ndugu yangu hayo ni matatizo si wewe pekee wengi wanalamika na hiyo kitu ila inategemea kwanza kaa chini na mwenzio mliongelee hilo swala ni muhimu huwezi jua labda ana stress za kazi au unashidwa kumpa maufundi maana maufundi mengine hata kama hataki atarudia tu cha muhimu kaa naye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.